Mtoto pendwa wa awamu ya sita ni nani?

Mtoto pendwa wa awamu ya sita ni nani?

OMOYOGWANE

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2016
Posts
4,701
Reaction score
11,920
Wakuu

Kila awamu huwa kuna mtotompendwa serikalini ambaye hata akifanya madudu huwa haguswi wala kukalipiwa,

Inawezekana marope ni mtoto mpendwa wa awamu hii, huyu mwamba hiwa simkubali tangu enzi za muswada wa cyber crime.

Je huyu ndiye mwana mpendwa wa awamu hii au kuna mwingine?
 
Wakuu

Kila awamu huwa kuna mtotompendwa serikalini ambaye hata akifanya madudu huwa haguswi wala kukalipiwa,

Inawezekana marope ni mtoto mpendwa wa awamu hii, huyu mwamba hiwa simkubali tangu enzi za muswada wa cyber crime.

Je huyu ndiye mwana mpendwa wa awamu hii au kuna mwingine?
Wa nini mie...pua puaaa puaaa,tivu ake
 
Wakuu

Kila awamu huwa kuna mtotompendwa serikalini ambaye hata akifanya madudu huwa haguswi wala kukalipiwa,

Inawezekana marope ni mtoto mpendwa wa awamu hii, huyu mwamba hiwa simkubali tangu enzi za muswada wa cyber crime.

Je huyu ndiye mwana mpendwa wa awamu hii au kuna mwingine?
Unateseka ukiwa wapi?

Huyo marope kafanya madudu gani? Tupe ushahidi?
 
Wakuu

Kila awamu huwa kuna mtotompendwa serikalini ambaye hata akifanya madudu huwa haguswi wala kukalipiwa,

Inawezekana marope ni mtoto mpendwa wa awamu hii, huyu mwamba hiwa simkubali tangu enzi za muswada wa cyber crime.

Je huyu ndiye mwana mpendwa wa awamu hii au kuna mwingine?
Juma Aweso
 
February
Wakuu

Kila awamu huwa kuna mtotompendwa serikalini ambaye hata akifanya madudu huwa haguswi wala kukalipiwa,

Inawezekana marope ni mtoto mpendwa wa awamu hii, huyu mwamba hiwa simkubali tangu enzi za muswada wa cyber crime.

Je huyu ndiye mwana mpendwa wa awamu hii au kuna mwingine?
 
Back
Top Bottom