Mtoto wa 2000 tayari kazingua

Mtoto wa 2000 tayari kazingua

Annonymous

JF-Expert Member
Joined
May 9, 2013
Posts
688
Reaction score
1,126
Tayari kumeanza kuchangamka kwa mwenzetu
Habari picha inajieleza
Tumpe ushauri tu mana story inajieleza

Edited for more view:
Hapo issue iko hv. Mshikaji wangu kazaa na mtoto mmoja wa elf2. Yule binti kaondoka na mtoto kwasababu anakatazwa kuwa anaenda kuomba mboga na vijuice juice kwa majilani (yaani baba mtu hataki tabia za uswahilini zile)

Eheeee unaanza kunielewa sasa

Sasa baba mtu amedai mtoto amejibiwa kuwa ataishi na mwanaye akifikisha umri wa kukaa na watu ila saivi bado. Sasa akauliza inamaana umejimilikisha mtoto yaani amemzaa mwenyewe kwahyo yeye baba hana mtoto hapo?

Ndo akajibiwa kuwa kama amemiss mtoto wake (anataka kumwona) aangalie picha za hyo mtoto alizonazo kwenye sm ila mtoto mwenyewe mama ameshaenda naye anakopajua yeye
 

Attachments

  • IMG_20250118_201254~3.jpg
    IMG_20250118_201254~3.jpg
    36.3 KB · Views: 6
Hapo kuna m2 kaibiwa mtoto sasa anadai kajibiwa ukimmiss mtoto wako angalia picha zake. Hujaelewa kipi mwanetu
 
Huo uandishi tthatha,kweli efu mbili.......... Mie kwakeli mtu wa aundishi wa namna hii hua namtilia shaka sana,eti anakuambia mpenzi wako(naomn 2o8)hua nafuta namba muda huo huo
 
Hapo issue iko hv. Mshikaji wangu kazaa na mtoto mmoja wa elf2. Yule binti kaondoka na mtoto kwa tofauti zao. Sasa amedai mtoto amejibiwa kuwa ataishi na mwanaye akifikisha umri wa kukaa na watu ila saivi bado. Sasa akauliza inamaana umejimilikisha mtoto yaani amemzaa mwenyewe kwahyo yeye baba hana mtoto hapo?
Ndo akajibiwa kuwa kama amemiss mtoto wake (anataka kumwona) aangalie picha za hyo mtoto alizonazo kwenye sm ila mtoto mwenyewe mama ameshaenda naye anakopajua yeye
 
Kizazi Cha zinaa kimetamalaki. Hata akili kichwani zimekimbia
 
Hapo issue iko hv. Mshikaji wangu kazaa na mtoto mmoja wa elf2. Yule binti kaondoka na mtoto kwa tofauti zao. Sasa amedai mtoto amejibiwa kuwa ataishi na mwanaye akifikisha umri wa kukaa na watu ila saivi bado. Sasa akauliza inamaana umejimilikisha mtoto yaani amemzaa mwenyewe kwahyo yeye baba hana mtoto hapo?
Ndo akajibiwa kuwa kama amemiss mtoto wake (anataka kumwona) aangalie picha za hyo mtoto alizonazo kwenye sm ila mtoto mwenyewe mama ameshaenda naye anakopajua yeye
Na wewe hapo kwa mwandiko huuu huoni mi wale wale 2000's.

Kwahiyo hapa ndo umeeleweka?
 
Kwanini hamtumii kondom kama hampo tayali kulea?.mtoto mpaka afikishe umri wa miaka 7 ndiyo unaweza kumchukua na kuishi nae...."gusa unase twende kwao".
 
Hapo sasa nimekuelewa lengo la chapisho lako kwa ujumla, ila kama mtu atataka aelewe neno kwa neno itamgharimu muda mrefu kuelewa.
Tuendelee kujifunza namna ya kuwasilisha mkuu, maana hii changamoto tunayo wengi.
 
Hyo Kiswahili ni ngumu sana

Japo hapo kuna baba mwenye ela na baba mwenye mtoto na baba anaependwa zaid na mama mtoto
 
Tayari kumeanza kuchangamka kwa mwenzetu
Habari picha inajieleza
Tumpe ushauri tu mana story inajieleza

Edited for more view:
Hapo issue iko hv. Mshikaji wangu kazaa na mtoto mmoja wa elf2. Yule binti kaondoka na mtoto kwasababu anakatazwa kuwa anaenda kuomba mboga na vijuice juice kwa majilani (yaani baba mtu hataki tabia za uswahilini zile)

Eheeee unaanza kunielewa sasa

Sasa baba mtu amedai mtoto amejibiwa kuwa ataishi na mwanaye akifikisha umri wa kukaa na watu ila saivi bado. Sasa akauliza inamaana umejimilikisha mtoto yaani amemzaa mwenyewe kwahyo yeye baba hana mtoto hapo?

Ndo akajibiwa kuwa kama amemiss mtoto wake (anataka kumwona) aangalie picha za hyo mtoto alizonazo kwenye sm ila mtoto mwenyewe mama ameshaenda naye anakopajua yeye
Mbona kama wote ni wa afumbili? From their writings.
 
Back
Top Bottom