Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,378
- 56,047
Kama mama yake
hhhaaa husband miss uu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama mama yake
Basi mkwe ngoja tupambane huku mjini.. Hapo nyumbani andaa sehemu ya kutua Helicopter tu nikija kutoa mahari.. teh teh
50 was raised from ghetto and make his own fortune.. I admire him for that although Didy and Jay are richer than him..
Diddy isn't an inspiration at all, kwanza karithi tu from Bad Boyz ya BIG na hiyo Ciroc basi.. 50 Cent ndio inspiration kwa vijana wengi wa hood pale New York
Mbona husemi 50 Cent bila Eminem angekuwa kitaa anaendelea kuuza madawa? Kurithi si tatizo, ishu ni kumaintain, wangapi wanarithi mali kibao but still wanafirisika? Diddy habari nyingine, kimziki sio mkali kivile kama 50 or Jayz but kwenye suala la kusaka doo hapo humuwez, Jigga mwenyewe anakalishwa
hhhaaa husband miss uu
BIG ndie alifanya Bad Boy akatambulika duniani.. Ni kama alikuwa anatumika kumtajirisha Diddy..
Kama unavyowaona akina Weezy, Nicki, Drake wanavyompa mikwanja Birdman..
50 Cent katoka hood, akarecord under Eminem na Dree akatumia pesa yake kuwasaidia wenzake aliokuwa nao Hood akina Banks na Tony Yayo.. In business abilities and negotiations 50 is way far from Diddy.. Kitu kilichomwinua Diddy ni Ciroc pekee in other perspectives huwa hafanyi poa kihivyo.. And note that Diddy started it 1993 lakini 50 kaibuka in early 2000's. And to make myself clear sisemi kwamba Diddy hawezi..
love you...:thumbup:
Diddy kamtoa BiG mtaani akamfanya awe star muheshimu aisee, ni kama ukishindwa kumpa credit Fella kwa kuwatoa Yamoto Band. 50 hakutoka mwenyewe, alisaidiwa na Eminem kutoka kama yeye alivyokuja kuwasaidia wakina Tony Yayo baada ya kutoka. Kuna kipindi 50 Cent aliongoza kwenye list ya wanahiphop wenye utajiri mkubwa pindi alipokuwa juu sana kimuziki akiwakalisha Diddy na Jigga, kama angekuwa ana akili za kumaintain pesa angeendelea kuwa level za hao jamaa au kuwazidi, cha ajabu utajiri wa 50 Cent ni $140 M huku Diddy ana $ 700 M na Jigga $ 650 M, so 50 ni mtoto sana kwa hao, labda umlinganishe na Lil Wayne or Kanye West
Between 2008-2010 50 aliuza Vitamins water kwa Coca cola na akapiga $400M.. Hizo zote zimeenda wapi kwa muda mfupi tu huu?? Majuzi tu kasign deal na Frigo la $75M ina maana alikuwa na $70M pekee?? Hapo hatujaongelea deal la Effen Vodca, Haujaongelea Filamu yake ya POWER.. Sio kila kitu kinachoandikwa na Forbes ni ukweli mkuu..
Hata hapa Bongo wanamu estimate Dewji as richer than Bahressa and Mengi.. wakati last year Dewji walimuestimate $500M mwaka huu eti nearly $2B alafu akina Bahressa na Mengi bado wako around $600M
kwahiyo unataka kusema Forbes wamekosea kuestimate mali za 50 Cent? Kama ndivyo unazan 50 angekaa kimya na unavyojua 50 alivyo muongeaji?
50 was raised from ghetto and make his own fortune.. I admire him for that although Didy and Jay are richer than him..
Diddy isn't an inspiration at all, kwanza karithi tu from Bad Boyz ya BIG na hiyo Ciroc basi.. 50 Cent ndio inspiration kwa vijana wengi wa hood pale New York
50 was raised from ghetto and make his own fortune.. I admire him for that although Didy and Jay are richer than him..
Diddy isn't an inspiration at all, kwanza karithi tu from Bad Boyz ya BIG na hiyo Ciroc basi.. 50 Cent ndio inspiration kwa vijana wengi wa hood pale New York
Mtoto mzuri kwelii hebu wekeni picha ya mama yake
Kwani 50 ana watoto wangapii????
My dear kurithi tu hakutoshi ni akili ya kusimamia na kuendeleza vilivyoachwa.Never the less Jayz is a more of a ghetto child than 50 cents and he started stuggling waaayyyy back when hiphop haikua inapendwa Marekani na Ulaya.Achilia mbali kupigwa vita na wazungu.Hawa kusustain compe na racism is a big thing.50 cents amenza kuimba juzi watu wanauza miziki itunes na mitandao mingine,na je Forbes list ya utajiri wa wao inasemaje.?