Mtoto wa 50 Cent apiga $700,000

Mi nadhani with all due respect how a rich man spends his money ni juu yake maana saa anatafta ilikua juu yake.You seem to know more about 50cents,try to learn the rest.Na leo naona list Pdidy is almost $700m net worth,Jayz almost $500 na 50cents ni level za kina Birdman $150m.Huoni hapo unamfananisha Manji na Alhaji Dangote?
 
Last edited by a moderator:

Asante!
 

Hii thread haizungumzii nani tajiri zaidi ya nani.. I'm talking about entrepreneurship abilities. Patrick Ngowi hana pesa za ligi ya kina Davies Mosha, Yusufu Manji and the rest lakini He is a man to watch.. Kuna makampuni ya Solar miaka na miaka hapa Tanzania, lakini Helvetic ya Ngowi ndio inapaishwa mpaka na wazungu ulaya. Vitu vingine haviitaji degree kuvifahamu, ukienda kuchungulia kwenye account ya Ngowi nadhani hata 10 Billion hana lakini he was named a young african millionaire to watch.. Hiyo 10 Billion ni pesa ndogo sana kwa watu wa mawe pale Mjini kati Arusha..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…