Mtoto wa Bdozen amekua

Kuna mwanamke anamuita Juma Lokole mume?

Na uko seriously kuna mtoto anamuita Baba Juma Lokole?

Mungu awasaidie kwakweli
Alioa na ana mtoto wa kiume anaitwa luqmaan nafikiri huu ujinga wao wameanza kuudhihirisha miaka ya hivi karibuni.
Lokole alishawahi Kuoa na picha za harusi watu wanazo
 
Dozen alikuwa anamkataa uyu mtt alizaa na demu IFM

Yule dem alienda kumtupia mtt studio ikabid awe mpole

mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?

hata marehemu ruge umenikumbuka yule mtoto wa kwanza naye ni hivo hivo.ila yeye ruge upande wa mwanamke ndio walikomaa wakakabizi kwa babu.
tokea miaka hiyo mpaka kukua kwake kakulia kwa babu
 
Lokole kabla ya hapo alioa na ana mtoto mkubwa wa kiume
Hata lokole pale alipo anazalisha safi km mshedede wake antenna bado inashika lol, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Alioa na ana mtoto wa kiume anaitwa luqmaan nafikiri huu ujinga wao wameanza kuudhihirisha miaka ya hivi karibuni.
Lokole alishawahi Kuoa na picha za harusi watu wanazo
Kuna chimbo 1 nliwahi pata huu ubuyu, but lokole hayo mambo ameanza tangu primary, ila kuzamia mazima ndo kafanya miaka ya karibun, n kweli ana mtoto mkubwa tyuuh, ila naskia kamkataa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna chimbo 1 nliwahi pata huu ubuyu, but lokole hayo mambo ameanza tangu primary, ila kuzamia mazima ndo kafanya miaka ya karibun, n kweli ana mtoto mkubwa tyuuh, ila naskia kamkataa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Asehh!kwa sasa ashalegea Lokole na mmewe wanajiita Lokonabaa![emoji1][emoji1]
 
Hata lokole pale alipo anazalisha safi km mshedede wake antenna bado inashika lol, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Antenna inaweza kushika Network wakati exhaust ishalegezwa na propeller shaft??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…