Mtoto wa Bdozen amekua

Kuna chimbo 1 nliwahi pata huu ubuyu, but lokole hayo mambo ameanza tangu primary, ila kuzamia mazima ndo kafanya miaka ya karibun, n kweli ana mtoto mkubwa tyuuh, ila naskia kamkataa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
In jambo la kheri kamkataa
Hats ningekua ndo mie halafu naambiwa babako juma lokole Ila alikukataa ntafanya sherehe kabisa..
Yani Huyo bwabwa ndo nimtambulishe babangu?
 
In jambo la kheri kamkataa
Hats ningekua ndo mie halafu naambiwa babako juma lokole Ila alikukataa ntafanya sherehe kabisa..
Yani Huyo bwabwa ndo nimtambulishe babangu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mzazi n mzazi hata aweje,
 
Wanajifanya wabeba vyuma kumbe hawana malinda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…