Mtoto wa Castodickson ameharibika sana

Mtoto wa Castodickson ameharibika sana

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
20,137
Reaction score
26,189
Huyu jamaa Castodickson nitamlaumu milele kwa kumuacha mtoto wake mpaka kaharibika kitabia kwa kuiga mambo ya kiume ume na mbaya zaidi baba yake anamtazama tu.

Casto ana mtoto anaitwa Fatuma au yeye anapenda kujiita FT huyu binti ameharibika haswaaa yani ni tom boy mpaka kapitiliza , huwezi amini ni msichana lakini cha ajabu na yeye ana mademu zake na ukitaka kugombana naye umuite hilo jina la Fatuma au umuite demu aisee mtagombana na damu lazima zivuje hapo.

Huyu mtoto anakula sana bange na ana umri mdogo sana ,yupo kwenye 16-19 hivi lakini mambo anayoyafanya yanasikitisha sana.

Walio karibu na Casto wamwambie amuokoe mapema mtoto wake lasivyo kuna mabaya zaidi yatamkumba na aombe sana mtoto wake asijiingize katika matumizi ya madawa ya kulevya.
 
Watanzania umri wa 16-19 ndo umri gani huoo!!???
 
Back
Top Bottom