Umenichekesha kwenye swala la nyege
Mimi Kimeo simpendi kwa legacy yake ya ukabila pale crdb. Kuajiri 80% ya wafanyakazi kutoka kaskazini kwenye nchi yenye makabila zaidi ya 120 hana cha kumpongeza.
Ondoa ushamba wako basiHeshima pesa shikamoo makelele tu, afu mkuu huyo kimei ni nani?
Tangu aondoke siwaelewi kabisa.Kwa akili kama hizi huwezi kupata kazi pale CRDB.... Pole sana ndugu
Alikuwa mkurugeni mkuu wa benki ya CRDBHeshima pesa shikamoo makelele tu, afu mkuu huyo kimei ni nani?
Kocha mpya wa yangaNdio nani huyo kimei
Kumbe ndo weweBila shaka hujapata kumfahamu Kasie.
Wakati niko mschana miaka hiyoo ndo nimemaliza chuo, kuna kijana mmoja wa kichaga alinipenda sana (rejea uzi wa kwa nini wanaume wa kanda ya kaskazini wamekuwa sehemu kubwa ya mahusiano yangu). Huyu alikuwa mtafutaji mnoo aliijua hela tangu yuko chuo, hakutokea kwenye familia yenye hela ila alizitengeneza hela zake mwenyewe. Alikuwa na nyumba tayari, usafiri ndo alikuwa ameagiza, alinitambulisha hadi kwa mama yake mzazi na alikuwa anataka kunioa. Tangu siku ya kwanza aliniambia anataka mahusiano ya uchumba na si ugelofrendi na uboifrendi, ila sikumpenda na nikasema nikikubali kuolewa nae ntam chiti na ndoa haitakuwa na amani. Siku namwambia mimi siwezi kuwa na wewe,alilia hadi kamasi zikamtoka ila hata sikuwa na huruma sababu sikuwaza maumivu yake ya wakati huo, niliwaza ya baadae. Na aliumia sana maana nilikuwa nahimili mishindo yake.....
With Kasie, It's not about wachaga it's not about money...
It's about soul, passion and love...
It's all about Dadii as he is the package I treasure.
Mmmuuuahh to Dadiii.
Matata K.
Ndoa au msiba wa tajiri watakuja wale top wa kwenye makanisa.masikini hana haki huku duniani.Namuona Shoo, Malasusa na mwingine sijui nani. Hivi ni kawaida hii ndoa kufungwa na wakuu wote hao?
Mbona kwa ruge alienda katekistaNdoa au msiba wa tajiri watakuja wale top wa kwenye makanisa.masikini hana haki huku duniani.
Cha muhimu hapo sio chakula,MLETA MADA IKIFIKA MUDA WA MAAKULI NISTUE NITIE TIMU HAPO,MAANA NIPO AROUND HAPA MUHIMBILI....
Kwaio hadi leo bado unamsubiria anaekupenda sioBila shaka hujapata kumfahamu Kasie.
Wakati niko mschana miaka hiyoo ndo nimemaliza chuo, kuna kijana mmoja wa kichaga alinipenda sana (rejea uzi wa kwa nini wanaume wa kanda ya kaskazini wamekuwa sehemu kubwa ya mahusiano yangu). Huyu alikuwa mtafutaji mnoo aliijua hela tangu yuko chuo, hakutokea kwenye familia yenye hela ila alizitengeneza hela zake mwenyewe. Alikuwa na nyumba tayari, usafiri ndo alikuwa ameagiza, alinitambulisha hadi kwa mama yake mzazi na alikuwa anataka kunioa. Tangu siku ya kwanza aliniambia anataka mahusiano ya uchumba na si ugelofrendi na uboifrendi, ila sikumpenda na nikasema nikikubali kuolewa nae ntam chiti na ndoa haitakuwa na amani. Siku namwambia mimi siwezi kuwa na wewe,alilia hadi kamasi zikamtoka ila hata sikuwa na huruma sababu sikuwaza maumivu yake ya wakati huo, niliwaza ya baadae. Na aliumia sana maana nilikuwa nahimili mishindo yake.....
With Kasie, It's not about wachaga it's not about money...
It's about soul, passion and love...
It's all about Dadii as he is the package I treasure.
Mmmuuuahh to Dadiii.
Matata K.