Mtoto wa Charles Kimei afunga ndoa Jijini Dar. Kweli mjini pesa shikamoo kelele

Mimi Kimeo simpendi kwa legacy yake ya ukabila pale crdb. Kuajiri 80% ya wafanyakazi kutoka kaskazini kwenye nchi yenye makabila zaidi ya 120 hana cha kumpongeza.

Polee
 
Kumbe ndo wewe

Nlkua nahisi hisi

Asante sana , bora uliondoka
 
Hongereni wachaga kwa kuikuza bank ya CRDB. Ulitaka aajiri wacheza mdundiko? Unapotaka kufanikiwa unatafuta like mind people. Kuna kipindi enzi za kusaka kazi kuna kampuni ya kimataifa ilikuwa inaajiri. Ilipofika nchini iliingia na philosofia ya kuajiri watu wa kaskazini kwa kuwa waliambiwa toka kwao kuwa hiyo kanda ndiyo chapakazi. I tell you zile challenging positions zote walipewa wachagga wakapiga kazi mpaka wengine walipelekwa branches za nchi nyingine. Hata walipokuwa wameshikilia maeneo kama TRA mambo yalikuwa safi. Wanaitafuta pesa wanakula na kuhakikisha kuwa wanaendeleza taasisi. Si kama wenzangu na mimi akipata nafasi ni kula tu na kuongeza nyumba ndogo mwishowe kampuni au shirika linakufa. Angalia pensheni funds. Hivi kwrli kila mwezi unapokea michango ya mabilioni halafu unafilisika unashindwa hata kulipa mafao? Stupid
 
Kwaio hadi leo bado unamsubiria anaekupenda sio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…