Mtoto wa Charles Kimei afunga ndoa Jijini Dar. Kweli mjini pesa shikamoo kelele


Hi

Hii barua hajaisaini Dr. kimei yamkini hata hakuiona kabla haijapelekwa polisi.

Ahsante
 
Mimi Kimeo simpendi kwa legacy yake ya ukabila pale crdb. Kuajiri 80% ya wafanyakazi kutoka kaskazini kwenye nchi yenye makabila zaidi ya 120 hana cha kumpongeza.
Ukabila umekuzidi wewe huna lolote.
 
Hata hizo 60m unakuta kahesabia na nyumba ya baba yake. Afisa mikopo alipomuona dogo anavyojieleza na kiduku chake huku anachat kwenye groups za WhatsApp akaona isiwe tabu
Hahahaj, eti na kiduku chake
 
Ndoa maaskofu watatu. Hivi na za waumini wa kawaida huwa zinakuwa hivi? KKKT kwa kupenda wenye pesa tu. Yaani Shoo katoka Kilimanjaro kuja kufungisha ndoa Dar?Ama kweli Yesu peke yake ndo hakuwa mbaguzi.
Hii KKKT ni ya watu wa kaskazini Shoo ni mkuu wa hilo kanisa Tanzania na anatokea kaskazini yaliko makao makuu ya kanisa na dayosisi kuu.
 
Umefikiri kama mimi daah!! Mimi kitendo tu cha kusoma hiyo barua ameiyandika tu inaonekana pasna shaka ni ushauri wa R.T.O kuiandika lakni nyuma ya pazia mambo yameshapitishwa.!
 
Mimi Kimeo simpendi kwa legacy yake ya ukabila pale crdb. Kuajiri 80% ya wafanyakazi kutoka kaskazini kwenye nchi yenye makabila zaidi ya 120 hana cha kumpongeza.
Huyo jamaa kwa harakaharaka ni mchaga au mpare,wanapeana ajira kwa undugu ndo zao, nenda pale airport kajionee
 
Mimi Kimeo simpendi kwa legacy yake ya ukabila pale crdb. Kuajiri 80% ya wafanyakazi kutoka kaskazini kwenye nchi yenye makabila zaidi ya 120 hana cha kumpongeza.
Ni kweli, na usiongee kwa sauti hata uzi huu unaweza kufutwa!!!! Watu wa connection sema ndoa zimewashinda hahahahaha
 
Mimi Kimeo simpendi kwa legacy yake ya ukabila pale crdb. Kuajiri 80% ya wafanyakazi kutoka kaskazini kwenye nchi yenye makabila zaidi ya 120 hana cha kumpongeza.
Kwa hiyo Mhe Rais anaponyosha mambo kama hayo ya zaidi 80% inabidi tumsapoti.Watu walibinafsisha taasisi kama za familia.

Tulikuwa tunapiga kelele nchi hii uchumi wake umeshikiliwa na wachache wenye asili ya Asia na badhi ya Wabongo Fulani hivi.Sasa hivi hilo linashughulikiwa kwa kanuni,sheria na taratibu za nchi utakuta wengine wanalalamika.Hatueleweki sisi Jamii tunataka nini.

My take:lost id sijakupinga ingawa hukutia nyama za kutosha kwa komenti yako hii kuonyesha mtazamo wako kiujumla ingawa ume-personalize kwa Dr Kimei.

Relax Mkuu,hahahahaha.
 
Hii arusi , kwa viwango vya bongo imepita kiwango cha ufahari. Mungu awasaidie tusije kusikia kwenye social media kuwa wameanza kuparangana na kudaiana talaka.

Kwangu mimi, haikupasa kuwa ya fahari kiasi hicho labda kwa kuwa sina hela kiwango hicho. Katika suala la arusi za watoto, baba Jessica (JPM) alikuwa sahihi kwenye arusi ya mtoto wake.

Vv
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…