Mtoto wa dada angu kicheche, anafeli na nimuhuni. shule gani itamfaa?

Mpeleke shule za dini hususani za wasabato(sda) na waroman(rc) hapo ndo utamuweza na atabadilika tu
 
Mpeleke Kizuka Morogoro... Hizo za masister ataishia kufukuzwa tu na kuliwa ada hawa entertain watukutu kule. Ila Kizuka shule ya Jeshi mwanzo mwisho.
 
Mpeleke Parane mkuu,ipo Same Mashariki,akirudi nyumbani likizo atakuwa anaimba kwaya kanisani
 
Duh thread ya mwaka 2010 watu mlivyochangia hapa ndo utaamini sisi watanzania kila kitubtwafanya nusu nusu
 
Mpeleke Kizuka Morogoro... Hizo za masister ataishia kufukuzwa tu na kuliwa ada hawa entertain watukutu kule. Ila Kizuka shule ya Jeshi mwanzo mwisho.
shule za kijeshi ananyooka.shule za seminary nyingi atafukuzwa kweli.ila kuna shule moja yaani ukimkabidhi mtoto wako mkuu wa shule ananyooshwa tu.ni ya kidini inaitwa UWATA SECONDARY SCHOOL iko vizuri saana kielimu,kimaadili,kimazingira,pia za kisabato nazo nzuri
 
Duh thread ya mwaka 2010 watu mlivyochangia hapa ndo utaamini sisi watanzania kila kitubtwafanya nusu nusu
mm sikujua kumbe bwana.hata nisingechangia,lakini si mbaya wenye matatizo kama hayo wanapata soution
 

Uuuh naona unaplay part yako..safiii sanaaa kjanaaa
 


Nadhani atakuwa kaishamaliza masomo yake ! Mkuu

Naomba nisaidie namba yake ya simu !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…