Mtoto wa dadake Magufuli aondolewa Ukatibu Mkuu

Operesheni Ondoa Vizigo[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
Mbona majina ya makatibu wakuu na manaibu yamefichwa sana...shida ni nini?
Mwenye mkeka aiweke hapa
 
Mjombake Mwendazake Dotto James katupwa nje. Sukuma gang in big trouble
Inaonekana, Mama kaifanyia kazi hoja hii
Kaithibitisha ni kweli, mtu kawekwa pembeni.
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…