Laah!!
hii kweli Tanzania,
(Ninachowaza Mimi sio kama wengine wameshindwa (wazazi mastaa wenye watoto) ila huenda hawajawekeza akili na maarifa yao yote kwaajili ya akaunti za Instagram kwa watoto wao).
Najuwa utabisha ila jiulize;
.
huyo tifa mwenye follower wengi anaweza kupost chochote Instagram?
Hivyo basi tambua wazazi wake maarifa na akili zao zote wamewekeza huko,hata wewe ukitaka unaweza ila kuna mengi mazuri na bora zaidi ya kupigania kwaajili ya mwanao hasa wa kike kuliko kumjazia followers Instagram..