Mtoto wa Gadner aitwaye Karen atumia Intrauterine Insemination

Mtoto wa Gadner aitwaye Karen atumia Intrauterine Insemination

Maendeleo hayo, kaaaaaaaziiiiiiiiiiiii kweli kweli mmhhhh haya.
 
Yaani anajiamini kwelikweli yaani anajiona yuko sahihi wakati kavunja utaratibu wa muumba wake, nampa pole mapema.
 
Na kama hajawahi "kukazwa" kipindi cha nyuma na akawa amezaa kwa operation, basi mpaka sasa bado ni bikra [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
 
Kwanza mwanamke hana mbegu hajui anachokizungumza labda anatafuta kiki time will tell. Kingne watu wengi wana matatizo ya uzazi usikute aliambiwa ana mayai matatu yamebaki na hawezi poteza mda on traditional way of getting pregnant atapoteza akajikuta anajarib hii njia. Kuna wengi wanafika hata 25 mayai yanakata kabisa wanaingia menopose.

There is no truth in media watu wengi wanafanya maigizo hata kwenye mambo ya kimsingi. Inapobidi hata mayai unayagandisha.
 
Muda utasema tuu!! Wanaficha mengi sana hawa...
 
Duh!
Unapokea sperms zilizokuwa donated huko hata hujui mwenye nazo yupoje!🤔 Kama donor ni jambazi, 'si riziki', nk unaathiri mtoto negatively!!!

Ujambazi unarithishwa kwa vinasaba? Ukiwa riziki lazima mwanao awe riziki pia? Uwezo wenu wa kufikiri mdogo sana.
 
Kwanza mwanamke hana mbegu hajui anachokizungumza labda anatafuta kiki time will tell. Kingne watu wengi wana matatizo ya uzazi usikute aliambiwa ana mayai matatu yamebaki na hawezi poteza mda on traditional way of getting pregnant atapoteza akajikuta anajarib hii njia. Kuna wengi wanafika hata 25 mayai yanakata kabisa wanaingia menopose. .

There is no truth in media watu wengi wanafanya maigizo hata kwenye mambo ya kimsingi. Inapobidi hata mayai unayagandisha. .

That is your opinion. Mtu yeyote yule anaweza kufanya insemination with or without hizo sababu. To each their own.
 
Back
Top Bottom