Mtoto wa Gadner aitwaye Karen atumia Intrauterine Insemination

Mtoto wa Gadner aitwaye Karen atumia Intrauterine Insemination

That is your opinion. Mtu yeyote yule anaweza kufanya insemination with or without hizo sababu. To each their own.
Hujataka kunielewa. Nani kasema hawezi fanya? I mearly suggesting perhaps there is another resason behind. It is very expensive to have these process done, so you know. .
 
Eti Uruguay! Kanajiona special hadi kuita presser kwa ujinga aliyoufanya. Kafanya hivyo kwa sababu zake binafsi na siyo kwa maslahi mapana ya baadaye ya mtoto ambae akikua atauliza baba yake ni nani.
 
This is a rather extreme form of narcissism. Stupid, conceited, self-serving bit.ch.
 
Huyu demu nilikuwa nampenda sn,sijui Kwa nini amenikataa na kuamua kufanya huu ujinga
 
Hivi nini kilimlazimisha kuita waandishi wa habari kuelezea Mambo yake personal. Kuzaa mpaka uite waandishi wa habari?. Very serious.
 
Ngoja tuone, mambo yake muachieni mwenyewe...
 
Baba wa mtoto yupo ila n vile tu anaongea anachojiskia yeye kwa wakati huo.
 
ni me muelewa sana karen kama baba wa mtoto kaingia mitini hatunzi mwanae uyo ni kama sperm donor tu vp dayamondi anasemaje au kamkana kama kawaida yake
 
Back
Top Bottom