Mtoto wa Hamisa Mobetto, Dylan na dili la Juventus Academy Tanzania

Mtoto wa Hamisa Mobetto, Dylan na dili la Juventus Academy Tanzania

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Mtoto wa Hamisa Mobetto, Dylan Deetz, amejiunga rasmi na Juventus Academy Tanzania kama balozi. Hamisa Mobetto alieleza furaha yake kupitia Instagram, akisema:
IMG_0500.jpeg


IMG_0501.jpeg

Juventus Academy Tanzania inalenga kusaidia vijana wenye vipaji vya soka kwa kutumia mbinu za mafunzo za Juventus zinazotambulika kimataifa. Kujiunga kwa Dylan na akademi hii ni hatua muhimu katika safari yake ya soka, na inatoa fursa ya kipekee kwa maendeleo yake katika mchezo huo.
 

Attachments

  • IMG_0499.jpeg
    IMG_0499.jpeg
    369.1 KB · Views: 7
Mtoto wa Hamisa Mobetto, Dylan Deetz, amejiunga rasmi na Juventus Academy Tanzania ili kukuza kipaji chake cha soka. Hamisa Mobetto alieleza furaha yake kupitia Instagram, akisema:
View attachment 3140839
"Leo, moyo wangu umejaa fahari! Hongera, Dylan kwa kujiunga na Juventus Academy Tanzania kama balozi wao mpya! Kuona ukichukua hatua hii katika ulimwengu wa soka kunanijaza furaha kubwa. Nakutakia ukuaji, kujifunza, na kung’aa kama ndoto zako, bingwa wangu! Mama daima ni shabiki wako mkubwa, ndani na nje ya uwanja."
View attachment 3140840
Juventus Academy Tanzania inalenga kusaidia vijana wenye vipaji vya soka kwa kutumia mbinu za mafunzo za Juventus zinazotambulika kimataifa. Kujiunga kwa Dylan na akademi hii ni hatua muhimu katika safari yake ya soka, na inatoa fursa ya kipekee kwa maendeleo yake katika mchezo huo.
View attachment 3140842
Tangu waanze wametoa wa chezaji kama wakina nani?
 
Mtoto wa Hamisa Mobetto, Dylan Deetz, amejiunga rasmi na Juventus Academy Tanzania ili kukuza kipaji chake cha soka. Hamisa Mobetto alieleza furaha yake kupitia Instagram, akisema:
View attachment 3140839
"Leo, moyo wangu umejaa fahari! Hongera, Dylan kwa kujiunga na Juventus Academy Tanzania kama balozi wao mpya! Kuona ukichukua hatua hii katika ulimwengu wa soka kunanijaza furaha kubwa. Nakutakia ukuaji, kujifunza, na kung’aa kama ndoto zako, bingwa wangu! Mama daima ni shabiki wako mkubwa, ndani na nje ya uwanja."
View attachment 3140840
Juventus Academy Tanzania inalenga kusaidia vijana wenye vipaji vya soka kwa kutumia mbinu za mafunzo za Juventus zinazotambulika kimataifa. Kujiunga kwa Dylan na akademi hii ni hatua muhimu katika safari yake ya soka, na inatoa fursa ya kipekee kwa maendeleo yake katika mchezo huo.
View attachment 3140842
Kwahyo kumbe Ni balozi Sio Mwanafunzi w Hiyo Accademy
 
Mtoto wa Hamisa Mobetto, Dylan Deetz, amejiunga rasmi na Juventus Academy Tanzania kama balozi. Hamisa Mobetto alieleza furaha yake kupitia Instagram, akisema:
View attachment 3140839

View attachment 3140851
Juventus Academy Tanzania inalenga kusaidia vijana wenye vipaji vya soka kwa kutumia mbinu za mafunzo za Juventus zinazotambulika kimataifa. Kujiunga kwa Dylan na akademi hii ni hatua muhimu katika safari yake ya soka, na inatoa fursa ya kipekee kwa maendeleo yake katika mchezo huo.
View attachment 3140842
Jambo jema kamuandalia mtoto future nzuri
 
Mtoto wa Hamisa Mobetto, Dylan Deetz, amejiunga rasmi na Juventus Academy Tanzania kama balozi. Hamisa Mobetto alieleza furaha yake kupitia Instagram, akisema:
View attachment 3140839

View attachment 3140851
Juventus Academy Tanzania inalenga kusaidia vijana wenye vipaji vya soka kwa kutumia mbinu za mafunzo za Juventus zinazotambulika kimataifa. Kujiunga kwa Dylan na akademi hii ni hatua muhimu katika safari yake ya soka, na inatoa fursa ya kipekee kwa maendeleo yake katika mchezo huo.
View attachment 3140842
Safi sana, dili kubwa hili ila Hamisa mkazanie mtoto mazoezi ya mpira hiyo control yake imetuangusha.
 
Back
Top Bottom