Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Tangu waanze wametoa wa chezaji kama wakina nani?Mtoto wa Hamisa Mobetto, Dylan Deetz, amejiunga rasmi na Juventus Academy Tanzania ili kukuza kipaji chake cha soka. Hamisa Mobetto alieleza furaha yake kupitia Instagram, akisema:
View attachment 3140839
"Leo, moyo wangu umejaa fahari! Hongera, Dylan kwa kujiunga na Juventus Academy Tanzania kama balozi wao mpya! Kuona ukichukua hatua hii katika ulimwengu wa soka kunanijaza furaha kubwa. Nakutakia ukuaji, kujifunza, na kung’aa kama ndoto zako, bingwa wangu! Mama daima ni shabiki wako mkubwa, ndani na nje ya uwanja."
View attachment 3140840
Juventus Academy Tanzania inalenga kusaidia vijana wenye vipaji vya soka kwa kutumia mbinu za mafunzo za Juventus zinazotambulika kimataifa. Kujiunga kwa Dylan na akademi hii ni hatua muhimu katika safari yake ya soka, na inatoa fursa ya kipekee kwa maendeleo yake katika mchezo huo.
View attachment 3140842
Kwahyo kumbe Ni balozi Sio Mwanafunzi w Hiyo AccademyMtoto wa Hamisa Mobetto, Dylan Deetz, amejiunga rasmi na Juventus Academy Tanzania ili kukuza kipaji chake cha soka. Hamisa Mobetto alieleza furaha yake kupitia Instagram, akisema:
View attachment 3140839
"Leo, moyo wangu umejaa fahari! Hongera, Dylan kwa kujiunga na Juventus Academy Tanzania kama balozi wao mpya! Kuona ukichukua hatua hii katika ulimwengu wa soka kunanijaza furaha kubwa. Nakutakia ukuaji, kujifunza, na kung’aa kama ndoto zako, bingwa wangu! Mama daima ni shabiki wako mkubwa, ndani na nje ya uwanja."
View attachment 3140840
Juventus Academy Tanzania inalenga kusaidia vijana wenye vipaji vya soka kwa kutumia mbinu za mafunzo za Juventus zinazotambulika kimataifa. Kujiunga kwa Dylan na akademi hii ni hatua muhimu katika safari yake ya soka, na inatoa fursa ya kipekee kwa maendeleo yake katika mchezo huo.
View attachment 3140842
Kwa nilivyomuona kachori zilishamharibu....ameenda kupiga picha atarudi.
Usikariri maishaWatoto wa kibongo lainilaini sana, hata waende academy gani kutoboa ni ngumu...
mtoto nyanya masalo hamna litu hapo.Kwa nilivyomuona kachori zilishamharibu....
Hapo tutaishia kwenye picha tu.mtoto nyanya masalo hamna litu hapo.
Jambo jema kamuandalia mtoto future nzuriMtoto wa Hamisa Mobetto, Dylan Deetz, amejiunga rasmi na Juventus Academy Tanzania kama balozi. Hamisa Mobetto alieleza furaha yake kupitia Instagram, akisema:
View attachment 3140839
View attachment 3140851
Juventus Academy Tanzania inalenga kusaidia vijana wenye vipaji vya soka kwa kutumia mbinu za mafunzo za Juventus zinazotambulika kimataifa. Kujiunga kwa Dylan na akademi hii ni hatua muhimu katika safari yake ya soka, na inatoa fursa ya kipekee kwa maendeleo yake katika mchezo huo.
View attachment 3140842
Safi sana, dili kubwa hili ila Hamisa mkazanie mtoto mazoezi ya mpira hiyo control yake imetuangusha.Mtoto wa Hamisa Mobetto, Dylan Deetz, amejiunga rasmi na Juventus Academy Tanzania kama balozi. Hamisa Mobetto alieleza furaha yake kupitia Instagram, akisema:
View attachment 3140839
View attachment 3140851
Juventus Academy Tanzania inalenga kusaidia vijana wenye vipaji vya soka kwa kutumia mbinu za mafunzo za Juventus zinazotambulika kimataifa. Kujiunga kwa Dylan na akademi hii ni hatua muhimu katika safari yake ya soka, na inatoa fursa ya kipekee kwa maendeleo yake katika mchezo huo.
View attachment 3140842
Hajawahi kugusa mpira leo ndo kaanza, kama anapiga jiwe...Safi sana, dili kubwa hili ila Hamisa mkazanie mtoto mazoezi ya mpira hiyo control yake imetuangusha.
Malezi babu ....mtoto nyanya masalo hamna litu hapo.
Ningekuwa mama yake ningeomba hicho kipande wakikate, waache kile cha Siuuuu ya Ronaldo pekee.Hajawahi kugusa mpira leo ndo kaanza, kama anapiga jiwe...
Ni shida ni kwikwi....Ningekuwa mama yake ningeomba hicho kipande wakikate, waache kile cha Siuuuu ya Ronaldo pekee.