Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo maana watakiwa uwe na watoto wengi
Kwahiyo huyu binti utamu wa gitamuri atausikia kwa jirani??
Huo sio ushoga bali ni usagajiAwa kawii sikia ni muvi ila poah ingekua ni mtoto wake yule wa kiume ingekua shida haya ndo matokeo ya kukipenda sana kitu chako au mtt wako shida tayari hapo mtt mdg ila ameoza akili cjui ndo kampeni yenyewe ya ushoga mbele
Anaye na wakiumeHalafu mtoto wenyewe ni mmoja tu, ingekuwa anawatoto 6 au 7 poa tu.
Aaamin.Mungu tuepushe na hii laana..
Naomba nikurekebishe kidogo, mtoto wake huwa anajihisisha na kuuza madawa ya kulevya pia ndio akatoa ile kauli kwamba mwanae hatarithi chochote kutoka kwake maana yeye ni ambassador wa kupinga madawa ya.kulevya chinaNamuamini Jackie.
Alisema sheria za dawa za kulevya zikazwe ukali.
Soon baada ya kauli yake mwanae wa kiume akakamatwa kwa kuvuta bangi.
Akaja kuhojiwa juu ya hilo swala.
Akajibu mwanae na ahukumiwe kwa sheria zilizopo.
Sioni kama anaweza kuturn blind eye ova this kisa ni binti yake.
Mkuu kwani vipi?mbona kama umepanic hivi?Ni maisha yake binafsi. Halituhusu. Waje wafanye fungate Serengeti. Tunahitaji pesa zao. La ushoga ni lao wewe linakuhusu nini... Umbea tu....