Mtoto wa Jk ahitimu Muhimbili

Hongera salama....But huyu mtu ana watoto wangapi??? Manakee....
 

Hongera daktari kama kina Lembariti hawajakupetesha lakini manake hiyo MUCHS(MUCHAS) si mchezo na nyie watu wa DDS pia mna kimbembe sana kwenye miaka ya mwanzo.
Sema ajabu ya MUCHS,DDS wanachukua mpaka point 12 lakini MD na Pharmacy ni one to au wakiteleza sana ni point 10.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…