Niko Igunga Tbr ni mmoja wa watumishi wa umma katika secta ya Eimu natafuta msichana awe mchumba wangu mwenye umri usiozidi miaka 23 mshiriki wa SDA awe na taaluma yoyote
Niko serious kuliko neno serious nimeamua kuoa
Mkuu unatafutaje mtu ambaye hata sikio lake hujaliona?Unanikumbusha miaka ya nyuma wakati niko chuo unajifanya kukosea namba ili upate rafiki,lakini siku ya kukutana mnaanza kukimbiana kwa sababu inakuwa ni tofauti na matarajio.