Threesixteen Himself
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 8,233
- 8,022
!
!
Jambazi
!
Jambazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni bini siyo bin.kwa wale mnaotoa jibu la BIN je katika Kiswahili kuna maneno yasioishia na a,e,i,o,u?
Naomba kuondolewa ujinga, nimeulizwa na mtoto mdogo anayesoma darasa la tatu nimeshindwa kumjibu na kuishia kumpigia stori nyingine ili asahau swali lake, lakini kamekomaa kila muda kananikumbusha.....sijui nani amekatuma!! Msaada tafadhali...
Duh......Asante Nguruvi3 kwa kuniongezea uelewa.Mwanzisha mada naomba niendeleze kidogo kwa kutoka nje ya mada
Kijana na binti wasioolewa lakini 'wakatenda' lugha inayotumika ni Kijana kamdunga mimba binti
Kumdunga ni neno linaloonyesha kisichotrajiwa kwa maana ya kuwa ni nje ya utaratibu
John(mwanaume) katika maana tuliyoeleza akichepuka na Farida(Mwanamke) wote katika ndoa au mmoja akiwa ndani ya ndoa, kinachotokea ni John Kampachika Farida Mimba
Kumpachika ina maana ya 'pachika' shikiza tu lakini siyo halisi (original) zao la uchepuko
Kihaule na Mkewe Chausiku katika ndoa,siyo stara kumtaja mwanaume katika uja uzito. Kumbuka si mimba ni uja uzito. Kwa mfano, Chausiku ana uja uzito! inatosha
Ukisema Chausiku ana uja uzito wa Kihaule utakuwa umetukana kwasababu hawa ni wana ndoa hutakiwa kuweka doubt!
Ukisema hivyo unathibitisha kuwa ujauzito wa Chausiku ni wa Kihaule.
Si kazi yako kuthibitisha ujauzito katika ndoa, unachoweza kufanya ni kuzungumzia Ujauzito wa Chausiku tu kwamba ni mjamzito
Ni makosa pia kusema Chausiku amebeba mimba.
Mwanamke aliyepata mimba tu ndiye anabeba, Chausiku habebi ana mume hivyo ana ujauzito
Kwasisi wa Pwani masuala ya ujauzito yanaelezwa kikeni zaidi kwa mwanaume ni 'silent' kidogo. Kwa mfano Binti Sudi ni Mjamzito ikimaanisha binti wa mzee Sudi ni mjamzito
Ukiulizwa yupi? Kwa maana wapo mabinti wengi utasema mkewe Makame Usi
Hata hivyo ukisogea kule Musoma, Nyakato au Geita ni rahisi sana kusikia Malima kamtia mkewe Mimba! lah!
shukranimaneno haya kwa lugha zetu yapo.km wahaya.utofautisha mtototo wa kike na wa kiume kwa majina "mwiski(msichana),msigazi(mvulana).mwala wa(binti wa) mtabani wa bin wa).mushaija(mwanaume),mukazi(mwanamke).nawaomba BAKITA watusaidie kutupa maneno sanifu kama wanatusoma.Sawa sawa kabisa , niongezee kidogo
Bin ni kiunganishi cha uzawa wa mwanaume kwa maana ya Juma Bin Hussein ikimaanisha Juma aliyezaliwa na Hussein. Asaha binti Maftaha kwa maana hiyo hiyo lakini kikeni
Mtoto anazaliwa kama mtoto wa kiume kwa maana yake na wa kike vivyo hivyo
Wanapoelekea umri wa balegheh au kuvunja ungo wanaitwa Wavulana au Wasichana
Katika umri wa balegheh na ungo huitwa Kijana na Binti
Ndiyo maana utasikia Kijana wa Katavi kamdunga mimba binti Mbonde
Baada ya umri wa kuzaa hadhi zao hubadilika na kuwa mwanaume na Mwanamke
Utasikia mwamaume huyu mkware au mwanamke yule mwingi, ushamfaham eeh
Ukienda Ushirombo au Machame kidogo utatatizika. Unaweza kusikia 'kuna mwanamke kapita hapa amebebe mwanaume' kwa maana ya mwanamke kabeba mtoto wa kiume
Kule hakuna category ni mwanaume na mwanamke! period
Mtoto wa kiume huitwa "bin"
Dume la mbwa huitwa NyangusiMkuu
wacha na mimi nidandie hapo hapo:
Dume la Ng'ombe huitwa Fahari
Dume la Mbuzi huitwa Beberu
Dume la Kuku huitwa Jogoo
Je dume la mbwa huitwaje?
Nawasilisha wakuu.
Kijana ni miaka kuanzia 18-39 awe wa kike au wakiume mkuuKijana wa mzee ...binti wa mama...ila ukienda kweny wingi mhh vijana inainclude he/she.mabinti inabakia na maana ya wakike tu.kiswahli kigumu akijakamilika.