Mtoto wa Kike.


Mkuu Mbu mtoto ni mtoto na akiwa na afya njema basi inabidi ushukuru sana Muumba wetu. Umejaliwa hao wawili wanatosha kabisa Mkuu. Wengine wanatafuta hata wa dawa tena kwa mamilioni ya pesa lakini hawafanikiwi.
 
Kuna ndugu yangu nae alianza wehu wa kutafuta mtoto wa kiume nje ya ndoa. Sasa ivi ana watoto nane wa kike, kila mmoja na mama'ke. Ndoa hana, kazi hana, amechanganyikiwa. Mshukuru Mungu kwa hao ulionao. Wenzio wengi hawana!
 

MESTOD, nimekuelewa sana tu. Shukran.
 
Kuna ndugu yangu nae alianza wehu wa kutafuta mtoto wa kiume nje ya ndoa. Sasa ivi ana watoto nane wa kike, kila mmoja na mama'ke. Ndoa hana, kazi hana, amechanganyikiwa. Mshukuru Mungu kwa hao ulionao. Wenzio wengi hawana!

ha ha ha, e bana wee!
inasikitisha lakini inachekesha pia.

Nimekusoma na nimekuelewa. Thanks bro.
 

Kaunga sasa nimekuelewa.
I've been living like that for ten years,

Nasubiria siku ya kiti moto,
watapokuja niuliza why niliachana na mama yao, ...pheewww!
 
Mbu, hun! Nakushauri urudi kwa mamsapu uzae naye mtoto wa kike halafu uje kwangu tule maisha. Sihitaji mtoto but I will make a good mama wa kambo 🙂!
 
Mbu, hun! Nakushauri urudi kwa mamsapu uzae naye mtoto wa kike halafu uje kwangu tule maisha. Sihitaji mtoto but I will make a good mama wa kambo 🙂!

Bi mkubwa unajuaje kama utakuwa mama mzuri wa kambo?
 
Mbu, hun! Nakushauri urudi kwa mamsapu uzae naye mtoto wa kike halafu uje kwangu tule maisha. Sihitaji mtoto but I will make a good mama wa kambo 🙂!

Bi mkubwa unajuaje kama utakuwa mama mzuri wa kambo?

Hii thread iko soo touchy lakini kwa post ya BiMkubwa nimefarijika kwa kucheka. Ah BiMkubwa aksante. Mbu kazi kwako!!
 
Mbu, wewe ndio hujanielewa! I meant:
Kama umeshindwa kuishi na ex wife wako, kuliko kuzaa tu; it is better to look for another wife, ambaye atakuzalia huyo binti, lakini akakusaidia kutunza hao madume yako!

I am not looking for a wife! I am no lesbian!
 
Mbu, hun! Nakushauri urudi kwa mamsapu uzae naye mtoto wa kike halafu uje kwangu tule maisha. Sihitaji mtoto but I will make a good mama wa kambo 🙂!

...LOH! haya BiMkubwa. Mashaallah...hata maneno yamenipotea sasa...LOL!



...Pole Kaunga, loh!
Mistaken Identity,...am really sorry.
Mwenzio nimezidiwa leo, acha tu niyatoe kifuani.

Anyway, hapo pa kutafuta another wife,
Je asipozaa? Si unajua kuzaa ni majaaliwa?
Sihitaji kumdhalilisha mtu alete cheti cha Gynecologist ndio nikamchumbie kwao.
 

Kiunga am sorry naomba niconfess sijui kwa nini nilikuwa nafikiri wewe ni mkaka!! Kidogo nikuite bro. So at least nina pa kuchotea experience. Unajua nini Kaunga nadhani kwa alichopitia Mbu kwa ex- wake kimemfanya aamini kuwa hahitaji tena kuishi under one roof na kiumbe chochote kile chenye jinsia ya kike kama mkewe. So nadhani ndo maana akaja na solution ya kutafuta tu mtot wa kike then asonge mbele...........kwa hili sidhani kama anaweza (Sikatai but akiamua kuwa muhuni basi anaweza maana anawezajitia uchizi akaanza kudonate then kikitokea cha kike atakubali mwana na kukataa mke! Wapo wengi wamefanya hayo na wamefanikiwa).

But I believe Mbu is more than that ndo maana kaanza kuuliza kwanza kama kuna possibilities.......tunaishi katika jamii tofauti kile unachofikiria kwenu hakiwezekani hukawii kukuta sehemu flani kinawezekana
 
Reactions: Mbu
Kuna ndugu yangu nae alianza wehu wa kutafuta mtoto wa kiume nje ya ndoa. Sasa ivi ana watoto nane wa kike, kila mmoja na mama'ke. Ndoa hana, kazi hana, amechanganyikiwa. Mshukuru Mungu kwa hao ulionao. Wenzio wengi hawana!
 
Reactions: BAK
Kuna ndugu yangu nae alianza wehu wa kutafuta mtoto wa kiume nje ya ndoa. Sasa ivi ana watoto nane wa kike, kila mmoja na mama'ke. Ndoa hana, kazi hana, amechanganyikiwa. Mshukuru Mungu kwa hao ulionao. Wenzio wengi hawana!
TheChoji ninapenda kuungana na huyo ndugu yako kusympathize naye......kusema ukweli wakati mwingine wanadamu tunajisahau na kufikiri kila kitu tunaweza wenyewe.......tunamweka MUNGU pending hadi pale tunaposhindwa kabisa ndo tunamgeukia..tunamfanya kama a spare tyre...... nina imani kuwa nduguyo angefanya kwa utaratibu huku akimwomba MUNGU angejibiwa sala zake. Wengi wamepokea muujiza wake na si kwamba wao ni wema au hawana dhambi.

Najiuliza sana.................... nikisoma posts nyingi hapa zinashauri Mbu aridhike na hao alionao na amshukuru MUNGU kwa hilo kwani wapo wanaotafuta hawapati japo mmoja. But kwa hali ya ubinadamu sie haturidhiki.............. so tunajikuta tunataka zaidi na zaidi kile tunachokidesire nadhani ndio maana MUNGU ameturuhusu kwa kutwahidi tuombe nasi TUTAPATA, tutafute nasi TUTAONA na tubishe nasi TUTAFUNGULIWA....na pia amesema TUKIOMBA LOLOTE kwa JINA LAKE tutapewa............ sasa hapa ninakwama kwenye njia sahihi ya kuomba........... wengi tunajikuta tunakwazwa na wenzi wetu to the extent that tunajikuta tunavunja mahusiano yetu sasa je kwa mtu ambaye amedivorce na bado ana mahitaji anaomba kutoka kwa MUNGU atanyimwa kwa kuwa amedivorce??
 
Kiunga am sorry naomba niconfess sijui kwa nini nilikuwa nafikiri wewe ni mkaka!! Kidogo nikuite bro.
Usijali, from the very beggining sikupenda kujiidentify kwa sex, thought it was for the better. Also my id (actually my real name) sound manly.

About mbu, nafikiri amepata ushauri wa kutosha now, ataona what is best for him at the end of the day, though haimgurantee kuwa problem free!
 

...kaunga acha tu,
Kuna mdada mwenye matatizo ya uzazi aliwahi kuniambia hataki wazo la ku adopt.
Yu tayari kuuza kila kilicho chake agharamie matibabu abebe mwenyewe Mimba yake.

Mdada kama huyo, (pamoja na maombi na kuelimishwa risks za infant/maternal mortality)
ni nadra sana kwa uliye na mtoto/watoto kumuelewa kilio chake.
Hivyo ndivyo ilivyo kwangu.

Ninavyotamani kuwa na Binti wangu mwenyewe, yataka imani thabiti kukubaliana na usemi shukuru ulichojaaliwa.
Najua Mw'Mungu anakijua kilio cha rohoni mwangu. Nilimtanguliza, na bado naendelea kumtanguliza.
Ila mnh, muda wa ku enjoy na "princess" unanitupa mkono,...
 
....pole sana mbu,ila mtoto ni mtoto haijalishi jinsia....japo inapendeza kuwa na jinsia zote. Sasa basi kama unataka baby girl fanya adoption,kuna watoto wengi tena bado wadogo unaweza kuchukua mmojawapo. Ila kama unataka damu yako hapo kazi ipo.
 

nimekapenda hako katoto.
 
Bitimkongwe,
Shukran kwa kuyaweka wazi haya.

Ngoja nikuulize swali la ziada. Kwa maoni yako wewe bitimkongwe,
kwenye Orphanage (nyumba za yatima) Umri gani unafaa ku adopt mtoto?

Ijapokuwa umeshapata maoni ya kutosha lakini bado naona unaweza ku adopt mtoto na akawa kama wako. Na hasa mtoto ambaye yuko kama miaka miwili mpaka mitatu hivi. Tatizo litakuja vile vile ikiwa huna mke ina maana utampangisha kwa mama, dada au mfanyakazi.

Walivyokueleza wenzangu kuhusu single parenting ni kweli kabisa. Sisi baba yetu alifariki tukiwa wadogo sana (six years of age) na mama yetu hakuolewa tena aliendelea kutulea mwenyewe. Ile gap tuliihisi kabisa mpaka baadhi ya wakati mimi nilikuwa najiuliza kwa nini baba yangu amekufa mapema na wenzangu wanao baba zao?
 
Reactions: Mbu
Mbu, l real feel for u especially after ur last post! What l can tell u is I am with u and l am going to pray for u tonight! Who said miracles don't happen!
 
Reactions: Mbu
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…