Mtoto wa kiume ingia kwenye mahusiano kitaalamu

Mtoto wa kiume ingia kwenye mahusiano kitaalamu

Natafuta Ajira

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2020
Posts
9,016
Reaction score
24,650
Kabla mwanamke hajakukubalia tambua ya kwamba ashapiga hesabu zake na kujua atanufaika vipi kupitia wewe iwe kwa sasa au uko mbeleni.

Ni wanaume wajinga ndio huwa wanaingia katika mahusiano bila malengo.

Ndio maana wanaume hawa huwa wanaishia kutumika na wanawake kwa malengo binafsi, kwa sababu wameingia kwenye mahusiano kibwege bwege.

Mwanamke anajua anachokitaka kwa mwanaume lakini wanaume walio wengi bado hawajui wanataka nini kwa mwanamke.

It's simple, kwa mwanamke mahusiano ni transactional, mapenzi ya mwanamke ni conditional, ukifika wakati mahusiano hayamtimizii selfish purposes zake, mwanamke atayasitisha bila kujali maumivu wala sacrifices za partner wake. Kwa mwanamke mahusiano ya kimapenzi ni biashara, either direct or indirect it's a business to her.

Upande wa wanaume hapo ndipo wengi bado hawajui wanataka nini kwenye huu mchezo. Wanataka sehemu ya kumaliza nyege?, wanaogopa kuwa single?, wanataka mtu wa kusaidiana nae kimaisha? n.k.. bado wanaume wengi hawajui exactly wanataka nini.

Listen my brother, as an alpha male don't be naive, know what you want and strike it precisely.

Be strategic, when you are dating any woman be clear about what she is bringing to the table, so you can measure what you are also going to contribute. Don't venture in parasitic relationship.

Don't be stupid, don't be simp.
 
1723990959686.jpg
 
Kabla mwanamke hajakukubalia tambua ya kwamba ashapiga hesabu zake na kujua atanufaika vipi kupitia wewe iwe kwa sasa au uko mbeleni.

Ni wanaume wajinga ndio huwa wanaingia katika mahusiano bila malengo.

Ndio maana wanaume hawa huwa wanaishia kutumika na wanawake kwa malengo binafsi, kwa sababu wameingia kwenye mahusiano kibwege bwege.

Mwanamke anajua anachokitaka kwa mwanaume lakini wanaume walio wengi bado hawajui wanataka nini kwa mwanamke.

It's simple, kwa mwanamke mahusiano ni transactional, mapenzi ya mwanamke ni conditional, ukifika wakati mahusiano hayamtimizii selfish purposes zake, mwanamke atayasitisha bila kujali maumivu wala sacrifices za partner wake. Kwa mwanamke mahusiano ya kimapenzi ni biashara, either direct or indirect it's a business to her.

Upande wa wanaume hapo ndipo wengi bado hawajui wanataka nini kwenye huu mchezo. Wanataka sehemu ya kumaliza nyege?, wanaogopa kuwa single?, wanataka mtu wa kusaidiana nae kimaisha? n.k.. bado wanaume wengi hawajui exactly wanataka nini.

Listen my brother, as an alpha male don't be naive, know what you want and strike it precisely.

Be strategic, when you are dating any woman be clear about what she is bringing to the table, so you can measure what you are also going to contribute. Don't venture in parasitic relationship.

Don't be stupid, don't be simp.
Mkuu MUNGU, LONG LIVE[emoji1545]
 
Kuna code naogopa sana watoto wa kiume wakiifungua itakuwa hatari sana. Huko majuu US na Europe wameshacrack hiyo code ya Maisha so wanawake wanakwenda kuteseka sana.

Wanaume wengi wamejicondition kuwa by age 30 wawe wameshaoa na kuwa na familia. Wengi wanapambana sana kutimiza hili lengo.

Lakini pia wengi wanaamini katika kuanzia miaka 50 hadi 60 wanaume ndio huwahitaji sana wanawake na watoto zao kwaajiri ya matunzo uzeeni. Wakiamini mwanaume huwa anachoka vibaya sana na kuwa tegemezi kwa mke kwa asilimia 90% na akikosa mke hufa mapema.

Pia ilisadikika wamaume bila mke wataweza lala njaa na kudhoofu miili.

Ila sasa naona hizi code kama kuna mazingira zinaanza kuvunjwa hadi naombea sana isitokee ila watoto wa kike wabadilike haraka sana ili wajukuu zetu wa kike wasije kuteseka siku za baadae sababu ya madhambi ya hawa bibi zao wa sasa.

Code ya kulala njaa kama hautaoa iliyosababisha hadi mwanamke kuitwa jiko kwasasa imeshakuwa cracked. Wanaume wa sasa wanapika vizuri kuliko wanawake. Wanapika hadi kisamvu na chapati nzuri kushinda wadada. Migahawa ndio biashara iliyopo kila mtaa. Ukitaka utaletewa ukitaka unaenda kula mgahawani.

Kuhusu utamu unachagua wewe ule hawa wamtaani, vyuo, form six au sungura pori. Ukishindwa basi unaingia mtandaoni unatafuta video ya utamu unamaliza mwenyewe, wewe tu unatakaje.

Wenzetu wanaume wameshaanza kugonga hadi 60 hana mtoto wala mke na anaishi fresh tu mali ni zake hakuna migogoro ya ukweni wala familia wala mizigo ya kulea mashemeji. Akiba ya kutosha maana 80% ya budget ya mwanaume ni kwa mke na familia, ndugu zake na ndugu za mkewe, plus matumizi yasiyo muhusu yeye ambayo hupanga mke, hence msemo marriage is a scam kwa mwanaume na asset kwa mwanamke.


Sasa najiuliza, wanaume wa bongo kwasasa imeshaanza kuwa kawaida kula chakula ambacho hajapika mke. Imeshaanza kuwa kawaida kulala na wanawake ambao si wake wa ndoa. Imeanza kuwa kawaida kuvuka 30+ bila ndoa wala mtoto. Hivi in the next 5 to 10 years wanaume wa sasa wakishaona wakubwa zao wamevuka 50 na 60 bila stress nje ya ndoa na life is good na wanasongesha, wakaja wakavuka hadi 70 na 80. Hivi itakuwaje kwa watoto wetu wa kike siku za usoni?

Huko majuu, wanawake wanalalamika sana gharama za maisha zimepanda sana na zipo juu kumudu mtu m'moja pekee jambo ambalo kwa mwanaume ni kawaida ila wao ni adhabu.

Wanaume wana a very simple life anaweza weka godoro chini na tv pale basi life imeanza nje anapaki gari ya maana. Mwanamke hii hawezi na akiishi hivi anakuwa depressed.

Mwanamke sehemu kubwa ys budget yake ipo financed na mwanaume, ambao kwasasa wameanza kukimbia kubeba majukumu yasiyo na kichwa wala miguu ikiwa hali wanawake wenyewe hawaeleweki misimamo yao juu ya mahusiano wameweka tamaa mbele.

Miaka michache ijayo hii breed ya wanaume ambao hawahitaji ndoa, watoto wala mke ikianza kutakuwa na crisis mbaya sana kijamii.

Jamii tulitazame hili.
 
Kuna code naogopa sana watoto wa kiume wakiifungua itakuwa hatari sana. Huko majuu US na Europe wameshacrack hiyo code ya Maisha so wanawake wanakwenda kuteseka sana.

Wanaume wengi wamejicondition kuwa by age 30 wawe wameshaoa na kuwa na familia. Wengi wanapambana sana kutimiza hili lengo.

Lakini pia wengi wanaamini katika kuanzia miaka 50 hadi 60 wanaume ndio huwahitaji sana wanawake na watoto zao kwaajiri ya matunzo uzeeni. Wakiamini mwanaume huwa anachoka vibaya sana na kuwa tegemezi kwa mke kwa asilimia 90% na akikosa mke hufa mapema.

Pia ilisadikika wamaume bila mke wataweza lala njaa na kudhoofu miili.

Ila sasa naona hizi code kama kuna mazingira zinaanza kuvunjwa hadi naombea sana isitokee ila watoto wa kike wabadilike haraka sana ili wajukuu zetu wa kike wasije kuteseka siku za baadae sababu ya madhambi ya hawa bibi zao wa sasa.

Code ya kulala njaa kama hautaoa iliyosababisha hadi mwanamke kuitwa jiko kwasasa imeshakuwa cracked. Wanaume wa sasa wanapika vizuri kuliko wanawake. Wanapika hadi kisamvu na chapati nzuri kushinda wadada. Migahawa ndio biashara iliyopo kila mtaa. Ukitaka utaletewa ukitaka unaenda kula mgahawani.

Kuhusu utamu unachagua wewe ule hawa wamtaani, vyuo, form six au sungura pori. Ukishindwa basi unaingia mtandaoni unatafuta video ya utamu unamaliza mwenyewe, wewe tu unatakaje.

Wenzetu wanaume wameshaanza kugonga hadi 60 hana mtoto wala mke na anaishi fresh tu mali ni zake hakuna migogoro ya ukweni wala familia wala mizigo ya kulea mashemeji. Akiba ya kutosha maana 80% ya budget ya mwanaume ni kwa mke na familia, ndugu zake na ndugu za mkewe, plus matumizi yasiyo muhusu yeye ambayo hupanga mke, hence msemo marriage is a scam kwa mwanaume na asset kwa mwanamke.


Sasa najiuliza, wanaume wa bongo kwasasa imeshaanza kuwa kawaida kula chakula ambacho hajapika mke. Imeshaanza kuwa kawaida kulala na wanawake ambao si wake wa ndoa. Imeanza kuwa kawaida kuvuka 30+ bila ndoa wala mtoto. Hivi in the next 5 to 10 years wanaume wa sasa wakishaona wakubwa zao wamevuka 50 na 60 bila stress nje ya ndoa na life is good na wanasongesha, wakaja wakavuka hadi 70 na 80. Hivi itakuwaje kwa watoto wetu wa kike siku za usoni?

Huko majuu, wanawake wanalalamika sana gharama za maisha zimepanda sana na zipo juu kumudu mtu m'moja pekee jambo ambalo kwa mwanaume ni kawaida ila wao ni adhabu.

Wanaume wana a very simple life anaweza weka godoro chini na tv pale basi life imeanza nje anapaki gari ya maana. Mwanamke hii hawezi na akiishi hivi anakuwa depressed.

Mwanamke sehemu kubwa ys budget yake ipo financed na mwanaume, ambao kwasasa wameanza kukimbia kubeba majukumu yasiyo na kichwa wala miguu ikiwa hali wanawake wenyewe hawaeleweki misimamo yao juu ya mahusiano wameweka tamaa mbele.

Miaka michache ijayo hii breed ya wanaume ambao hawahitaji ndoa, watoto wala mke ikianza kutakuwa na crisis mbaya sana kijamii.

Jamii tulitazame hili.
Ferminists hawawezi kukuelewa, trauma wanazoishi nazo zinawafanya kufurahia huu mfumo kandamizi kwa mwanaume wakifikiri unawakomoa maex wao, wanashindwa kuelewa hata kaka, wadogo zao wa kiume wote ni jinsia ME, vile vile ikitokea wanaume wote wakaji-adjust kitaalamu kwenye huu mfumo hata mabinti na wajukui zao nao watataabika.
 
Kuna code naogopa sana watoto wa kiume wakiifungua itakuwa hatari sana. Huko majuu US na Europe wameshacrack hiyo code ya Maisha so wanawake wanakwenda kuteseka sana.

Wanaume wengi wamejicondition kuwa by age 30 wawe wameshaoa na kuwa na familia. Wengi wanapambana sana kutimiza hili lengo.

Lakini pia wengi wanaamini katika kuanzia miaka 50 hadi 60 wanaume ndio huwahitaji sana wanawake na watoto zao kwaajiri ya matunzo uzeeni. Wakiamini mwanaume huwa anachoka vibaya sana na kuwa tegemezi kwa mke kwa asilimia 90% na akikosa mke hufa mapema.

Pia ilisadikika wamaume bila mke wataweza lala njaa na kudhoofu miili.

Ila sasa naona hizi code kama kuna mazingira zinaanza kuvunjwa hadi naombea sana isitokee ila watoto wa kike wabadilike haraka sana ili wajukuu zetu wa kike wasije kuteseka siku za baadae sababu ya madhambi ya hawa bibi zao wa sasa.

Code ya kulala njaa kama hautaoa iliyosababisha hadi mwanamke kuitwa jiko kwasasa imeshakuwa cracked. Wanaume wa sasa wanapika vizuri kuliko wanawake. Wanapika hadi kisamvu na chapati nzuri kushinda wadada. Migahawa ndio biashara iliyopo kila mtaa. Ukitaka utaletewa ukitaka unaenda kula mgahawani.

Kuhusu utamu unachagua wewe ule hawa wamtaani, vyuo, form six au sungura pori. Ukishindwa basi unaingia mtandaoni unatafuta video ya utamu unamaliza mwenyewe, wewe tu unatakaje.

Wenzetu wanaume wameshaanza kugonga hadi 60 hana mtoto wala mke na anaishi fresh tu mali ni zake hakuna migogoro ya ukweni wala familia wala mizigo ya kulea mashemeji. Akiba ya kutosha maana 80% ya budget ya mwanaume ni kwa mke na familia, ndugu zake na ndugu za mkewe, plus matumizi yasiyo muhusu yeye ambayo hupanga mke, hence msemo marriage is a scam kwa mwanaume na asset kwa mwanamke.


Sasa najiuliza, wanaume wa bongo kwasasa imeshaanza kuwa kawaida kula chakula ambacho hajapika mke. Imeshaanza kuwa kawaida kulala na wanawake ambao si wake wa ndoa. Imeanza kuwa kawaida kuvuka 30+ bila ndoa wala mtoto. Hivi in the next 5 to 10 years wanaume wa sasa wakishaona wakubwa zao wamevuka 50 na 60 bila stress nje ya ndoa na life is good na wanasongesha, wakaja wakavuka hadi 70 na 80. Hivi itakuwaje kwa watoto wetu wa kike siku za usoni?

Huko majuu, wanawake wanalalamika sana gharama za maisha zimepanda sana na zipo juu kumudu mtu m'moja pekee jambo ambalo kwa mwanaume ni kawaida ila wao ni adhabu.

Wanaume wana a very simple life anaweza weka godoro chini na tv pale basi life imeanza nje anapaki gari ya maana. Mwanamke hii hawezi na akiishi hivi anakuwa depressed.

Mwanamke sehemu kubwa ys budget yake ipo financed na mwanaume, ambao kwasasa wameanza kukimbia kubeba majukumu yasiyo na kichwa wala miguu ikiwa hali wanawake wenyewe hawaeleweki misimamo yao juu ya mahusiano wameweka tamaa mbele.

Miaka michache ijayo hii breed ya wanaume ambao hawahitaji ndoa, watoto wala mke ikianza kutakuwa na crisis mbaya sana kijamii.

Jamii tulitazame hili.
Yote wameyataka wao ,ngoja tuone.
 
Kuna code naogopa sana watoto wa kiume wakiifungua itakuwa hatari sana. Huko majuu US na Europe wameshacrack hiyo code ya Maisha so wanawake wanakwenda kuteseka sana.

Wanaume wengi wamejicondition kuwa by age 30 wawe wameshaoa na kuwa na familia. Wengi wanapambana sana kutimiza hili lengo.

Lakini pia wengi wanaamini katika kuanzia miaka 50 hadi 60 wanaume ndio huwahitaji sana wanawake na watoto zao kwaajiri ya matunzo uzeeni. Wakiamini mwanaume huwa anachoka vibaya sana na kuwa tegemezi kwa mke kwa asilimia 90% na akikosa mke hufa mapema.

Pia ilisadikika wamaume bila mke wataweza lala njaa na kudhoofu miili.

Ila sasa naona hizi code kama kuna mazingira zinaanza kuvunjwa hadi naombea sana isitokee ila watoto wa kike wabadilike haraka sana ili wajukuu zetu wa kike wasije kuteseka siku za baadae sababu ya madhambi ya hawa bibi zao wa sasa.

Code ya kulala njaa kama hautaoa iliyosababisha hadi mwanamke kuitwa jiko kwasasa imeshakuwa cracked. Wanaume wa sasa wanapika vizuri kuliko wanawake. Wanapika hadi kisamvu na chapati nzuri kushinda wadada. Migahawa ndio biashara iliyopo kila mtaa. Ukitaka utaletewa ukitaka unaenda kula mgahawani.

Kuhusu utamu unachagua wewe ule hawa wamtaani, vyuo, form six au sungura pori. Ukishindwa basi unaingia mtandaoni unatafuta video ya utamu unamaliza mwenyewe, wewe tu unatakaje.

Wenzetu wanaume wameshaanza kugonga hadi 60 hana mtoto wala mke na anaishi fresh tu mali ni zake hakuna migogoro ya ukweni wala familia wala mizigo ya kulea mashemeji. Akiba ya kutosha maana 80% ya budget ya mwanaume ni kwa mke na familia, ndugu zake na ndugu za mkewe, plus matumizi yasiyo muhusu yeye ambayo hupanga mke, hence msemo marriage is a scam kwa mwanaume na asset kwa mwanamke.


Sasa najiuliza, wanaume wa bongo kwasasa imeshaanza kuwa kawaida kula chakula ambacho hajapika mke. Imeshaanza kuwa kawaida kulala na wanawake ambao si wake wa ndoa. Imeanza kuwa kawaida kuvuka 30+ bila ndoa wala mtoto. Hivi in the next 5 to 10 years wanaume wa sasa wakishaona wakubwa zao wamevuka 50 na 60 bila stress nje ya ndoa na life is good na wanasongesha, wakaja wakavuka hadi 70 na 80. Hivi itakuwaje kwa watoto wetu wa kike siku za usoni?

Huko majuu, wanawake wanalalamika sana gharama za maisha zimepanda sana na zipo juu kumudu mtu m'moja pekee jambo ambalo kwa mwanaume ni kawaida ila wao ni adhabu.

Wanaume wana a very simple life anaweza weka godoro chini na tv pale basi life imeanza nje anapaki gari ya maana. Mwanamke hii hawezi na akiishi hivi anakuwa depressed.

Mwanamke sehemu kubwa ys budget yake ipo financed na mwanaume, ambao kwasasa wameanza kukimbia kubeba majukumu yasiyo na kichwa wala miguu ikiwa hali wanawake wenyewe hawaeleweki misimamo yao juu ya mahusiano wameweka tamaa mbele.

Miaka michache ijayo hii breed ya wanaume ambao hawahitaji ndoa, watoto wala mke ikianza kutakuwa na crisis mbaya sana kijamii.

Jamii tulitazame hili.
Kwa sasa jamii kubwa inatamani tu mtoto na sio ndoa, ndoa zimebaki kwa nice guys.
 
Ferminists hawawezi kukuelewa, trauma wanazoishi nazo zinawafanya kufurahia huu mfumo kandamizi kwa mwanaume wakifikiri unawakomoa maex wao, wanashindwa kuelewa hata kaka, wadogo zao wa kiume wote ni jinsia ME, vile vile ikitokea wanaume wote wakaji-adjust kitaalamu kwenye huu mfumo hata mabinti na wajukui zao nao watataabika.
Ni hatari sana. Feminism haikuja kumkomboa mwanamke imekuja kumkomoa na kumvurugia mpangilio salama wa maisha yake.
 
Kwenye haya maisha ukisema ufanye mambo kwa kuwa jamii au watu waliokuzunguka hufanya basi huna tofauti na mfungwa wa kifikra, Binafsi sioni umuhimu wa ndoa kwa mwanaume japo imekaa kama kataasisi fulani ka maadili ila kwa asilimia nyingi naona maadili ya mtu anafunzwa toka akiwa mdogo ikifika hadi ndoa ndo ikufunze basi hiyo ni kudanyana tu wewe kama tabia yako ni umalaya utaendelea hivyohivyo hadi uamue kuacha mwenyewe…. Hakuna kitakachokubadilisha.
 
Kuna code naogopa sana watoto wa kiume wakiifungua itakuwa hatari sana. Huko majuu US na Europe wameshacrack hiyo code ya Maisha so wanawake wanakwenda kuteseka sana.

Wanaume wengi wamejicondition kuwa by age 30 wawe wameshaoa na kuwa na familia. Wengi wanapambana sana kutimiza hili lengo.

Lakini pia wengi wanaamini katika kuanzia miaka 50 hadi 60 wanaume ndio huwahitaji sana wanawake na watoto zao kwaajiri ya matunzo uzeeni. Wakiamini mwanaume huwa anachoka vibaya sana na kuwa tegemezi kwa mke kwa asilimia 90% na akikosa mke hufa mapema.

Pia ilisadikika wamaume bila mke wataweza lala njaa na kudhoofu miili.

Ila sasa naona hizi code kama kuna mazingira zinaanza kuvunjwa hadi naombea sana isitokee ila watoto wa kike wabadilike haraka sana ili wajukuu zetu wa kike wasije kuteseka siku za baadae sababu ya madhambi ya hawa bibi zao wa sasa.

Code ya kulala njaa kama hautaoa iliyosababisha hadi mwanamke kuitwa jiko kwasasa imeshakuwa cracked. Wanaume wa sasa wanapika vizuri kuliko wanawake. Wanapika hadi kisamvu na chapati nzuri kushinda wadada. Migahawa ndio biashara iliyopo kila mtaa. Ukitaka utaletewa ukitaka unaenda kula mgahawani.

Kuhusu utamu unachagua wewe ule hawa wamtaani, vyuo, form six au sungura pori. Ukishindwa basi unaingia mtandaoni unatafuta video ya utamu unamaliza mwenyewe, wewe tu unatakaje.

Wenzetu wanaume wameshaanza kugonga hadi 60 hana mtoto wala mke na anaishi fresh tu mali ni zake hakuna migogoro ya ukweni wala familia wala mizigo ya kulea mashemeji. Akiba ya kutosha maana 80% ya budget ya mwanaume ni kwa mke na familia, ndugu zake na ndugu za mkewe, plus matumizi yasiyo muhusu yeye ambayo hupanga mke, hence msemo marriage is a scam kwa mwanaume na asset kwa mwanamke.


Sasa najiuliza, wanaume wa bongo kwasasa imeshaanza kuwa kawaida kula chakula ambacho hajapika mke. Imeshaanza kuwa kawaida kulala na wanawake ambao si wake wa ndoa. Imeanza kuwa kawaida kuvuka 30+ bila ndoa wala mtoto. Hivi in the next 5 to 10 years wanaume wa sasa wakishaona wakubwa zao wamevuka 50 na 60 bila stress nje ya ndoa na life is good na wanasongesha, wakaja wakavuka hadi 70 na 80. Hivi itakuwaje kwa watoto wetu wa kike siku za usoni?

Huko majuu, wanawake wanalalamika sana gharama za maisha zimepanda sana na zipo juu kumudu mtu m'moja pekee jambo ambalo kwa mwanaume ni kawaida ila wao ni adhabu.

Wanaume wana a very simple life anaweza weka godoro chini na tv pale basi life imeanza nje anapaki gari ya maana. Mwanamke hii hawezi na akiishi hivi anakuwa depressed.

Mwanamke sehemu kubwa ys budget yake ipo financed na mwanaume, ambao kwasasa wameanza kukimbia kubeba majukumu yasiyo na kichwa wala miguu ikiwa hali wanawake wenyewe hawaeleweki misimamo yao juu ya mahusiano wameweka tamaa mbele.

Miaka michache ijayo hii breed ya wanaume ambao hawahitaji ndoa, watoto wala mke ikianza kutakuwa na crisis mbaya sana kijamii.

Jamii tulitazame hili.
Upo sahihi mkuu. corea Sasa ivi kuzaa unalipwa watu wamesusa kuzaa na kuoa 😁
 
Kwenye haya maisha ukisema ufanye mambo kwa kuwa jamii au watu waliokuzunguka hufanya basi huna tofauti na mfungwa wa kifikra, Binafsi sioni umuhimu wa ndoa kwa mwanaume japo imekaa kama kataasisi fulani ka maadili ila kwa asilimia nyingi naona maadili ya mtu anafunzwa toka akiwa mdogo ikifika hadi ndoa ndo ikufunze basi hiyo ni kudanyana tu wewe kama tabia yako ni umalaya utaendelea hivyohivyo hadi uamue kuacha mwenyewe…. Hakuna kitakachokubadilisha.
Nafikiri concept nzima ya ndoa tayari ni outdated kwenye kizazi chetu, kama ndoa inaonekana na umuhimu basi angalao misingi yake ifanyiwe review kuendana na nyakati tulizopo.
 
Back
Top Bottom