Da Womanizer
JF-Expert Member
- May 24, 2010
- 1,577
- 150
jamani kwa kweli nimeboreka na inanitisha kwamba katika kizazi hiki bado kuna watu wa mawazo haya. yani kweli hao watoto wa kike hawana haki ya kurithi hizo mali hadi wawe wa kiume? naomba niwe tofauti this is unfair and an insult, kwa mkewe, kwa hao watoto wake wa kike na hata kwa Mungu wake. Mungu ndo muamuzi mtu azae mtoto gani. Kama haridhiki kiasi hicho aadopt mtoto wa kiume lakini mkewe anaweza kummistreat huyo mtoto akijua anakuja kurithi mali za wanae. da hii imeniumiza personally aisee.
Yaani uko so insecure na suala la wewe kuwa mwanamke kiasi kwamba mumeo akisema anatamani kuwa na mtoto wa kiume we akili yako itasikia kwamba anadharau wanawake. Kuna watu pia huwa wanatamani kupata mtoto wa kike. Jaribu kufungua hiyo minyororo ya kifikra uliyojifunga mama