Mtoto wa kiume usiendekeze Friendzone na watoto wa kike

Mtoto wa kiume usiendekeze Friendzone na watoto wa kike

Friendzone = mwanaume kugeuzwa limbukeni. Cha muhimu ku-control tamaa zetu. Hawa wanawake ni wateja wakuu wa waganga wa kienyeji wanatumia sana mitishamba kunasa wanaume. Ukijichanganya utajuta. Kama manzi kaanza kukupiga mzinga hata wa jero kabla ya kujua msimamo wake KIMBIA KWA MWENDO WA NGIRI.
 
Hiyoo kweli mm kuna mmoja aliniletea hizoo Pigot nikamwambia mm kama hutaki kunipa kipochi manyonyaa usiniombe pesa zako akasema wewe ndio wale wenye tamaa nikamwambia poteaa
 
Back
Top Bottom