Mtoto wa Lowassa, Robert Lowassa (Bob) afunga ndoa leo na Stephanie Kaaya (Steph)

Mtoto wa Aziz kaolewa na nani?
Chizi na Mgeja Chama chao ni Edward Lowassa

Mzee Mwinyi kaenda kum kampan kijana wake


Binti wa Rostam nae ameolewa hivi karibuni lakin Wanasiasa uchwara hawakualikwa
 
Tungempa nchi shughuli hizi zingekuwa ikulu kama awamu ya ile...


hizi zama za kazi tu... huwez kuona hivi vitu ikulu... yeye mwenyewe kaoa kwa mirinda na pepsi tu chuo
Tupo chato.
Kwanza ushanunua gazeti la Musiba?
 
Kweli Mkuu! Wanadamu wabaya sana usipomtanguliza Mungu watakutupia mikosi na nuksi
 
Tungempa nchi shughuli hizi zingekuwa ikulu kama awamu ya ile...


hizi zama za kazi tu... huwez kuona hivi vitu ikulu... yeye mwenyewe kaoa kwa mirinda na pepsi tu chuo
Ndiyo maana anataka watu watu waishi kama mashetani? Huo ni ushamba tu unasumbua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…