Chizi na Mgeja Chama chao ni Edward Lowassa
Mzee Mwinyi kaenda kum kampan kijana wake
Binti wa Rostam nae ameolewa hivi karibuni lakin Wanasiasa uchwara hawakualikwa
Eneo lao hilo wamejenga garden ya kukodisha
Lipo Chuga Olasiti karibu kwenye eneo la mawala Advocate.Lipo Chugga?
Kimandhari linaonekana kufananana yale maeneo huwa watu wanacheza golf...kama lilivyo eneo la kina Malinzi huko Misenyi
Tupo chato.Tungempa nchi shughuli hizi zingekuwa ikulu kama awamu ya ile...
hizi zama za kazi tu... huwez kuona hivi vitu ikulu... yeye mwenyewe kaoa kwa mirinda na pepsi tu chuo
Mods sijui wapo wapUmeshawahi by any chance kusikia kuhusu Jamii photos
Chato kumekuwa kama loliondo kwa babu jinsi kulivyo kick.Maandaz na juicy
Hela zipo chattle sa hivi
Binti wa Rostam nae ameolewa hivi karibuni lakin Wanasiasa uchwara hawakualikwa
Kweli Mkuu! Wanadamu wabaya sana usipomtanguliza Mungu watakutupia mikosi na nuksi2005
Mkuuu YALINIKUTAAAAAAAAA HAYAA
TUMEKODISHIWA SLIPWAY HOTEL NA OFISI
ASBH TUNFUNGUA BOX KUBWA TUKAKUTA NAZI 12 ZIMEOZA
BOX LA PILI TUKAONA KAMA VIATU
WANAOKUMBUKA BOX ZA BORA WANAZOWEKEA VIATU
NIKAKUTA KHANGA MBICHI ZIMEJAA MIPASHOOO
NKAITA MTUMISHI AJE.KUOMBEA MWANAMKE KAGOMA ATAFUNGUA MWEMYEWE
USIKU.MZIMA.ULIOFWATA MALAYA.ZAKO.HAOO.NA.MIE.NAMJIBU MABWANA ZAKOO HAOO YAANI WALILIPA SIKUSABA SIKU YA NNE NKAKIMBIA HOTEL KAMA NILIVYOZALIWA
USIULIZE KILICHOFWATA...FWATA USHAURI NILIOTOA OOOH
Dah nimemkumbuka mawala kama utani eti kajirusha kutoka gorofani.Lipo Chuga Olasiti karibu kwenye eneo la mawala Advocate.
Duh Jf😁😁Ugly bride.
WhyUgly bride.
Hawajui chochote kivipi? hahahahahaMkuu hujasikia kua mashahidi upande wa serikali hawajui chochotee. Sio mbali watakutwa bila hatia
Yule kijana kamponza sana Kitilya.Yule mkwewe bado anaozea lupango na Kitilya.
Ndiyo maana anataka watu watu waishi kama mashetani? Huo ni ushamba tu unasumbua.Tungempa nchi shughuli hizi zingekuwa ikulu kama awamu ya ile...
hizi zama za kazi tu... huwez kuona hivi vitu ikulu... yeye mwenyewe kaoa kwa mirinda na pepsi tu chuo
Ipo sehemu gani Arusha ? Panaitwaje ?Eneo lao hilo wamejenga garden ya kukodisha
Mungu Ni Mwema Wakati WoteNice,inapendeza.
Wanawake wazuri wazuri wanaolewa....