Prof Griff
JF-Expert Member
- Aug 29, 2008
- 6,772
- 5,258
Because
mbona wako poa mkuu..sioni tatizoBecause
Yamebaki Manangayembe yanahangaikaNice,inapendeza.
Wanawake wazuri wazuri wanaolewa....
Vp mkuu mmepigwa tukio la last minute ninUgly bride.
Nah, nah, not even close...more like granny to be was the bride. Big, fat, old grandma got wedded, you feel?Vp mkuu mmepigwa tukio la last minute nin
Not reallyNah, nah, not even close...more like granny to be was the bride. Big, fat, old grandma got wedded, you feel?
You may be right... but as far as 'am concerned, she may as well have been an old, spent cow masquerading as a bride.Not really
She beautiful..is slimness a marriage pre requisite?..
Two beholders here i see🤦🏼♀️
Wivu tu, mlete wako tulinganisheYou may be right... but as far as 'am concerned, she may as well have been an old, spent cow masquerading as a bride.
Lipo Chugga?
Kimandhari linaonekana kufananana yale maeneo huwa watu wanacheza golf...kama lilivyo eneo la kina Malinzi huko Misenyi
Ipo sehemu gani Arusha ? Panaitwaje ?
Na si kujirudia rudia hizo picha! Zinasomema 30+ lakini zipo 10+.asante kwa taarifa mpiga picha wetu wa jf maana si kwa mipicha hii
Ina maana Mdee ni m'baya?Nice,inapendeza.
Wanawake wazuri wazuri wanaolewa....
Sana mimi mpaka leo siamini kama alijirusha mwenyewe.Dah nimemkumbuka mawala kama utani eti kajirusha kutoka gorofani.
Nairobi dah Alikuwa genius sana.
Aliwekeza sana kwenye aridhi, inasemekana alikuwa amenunua aridhi south, na alikuwa na mgogoro kesi iko mahakamani na alikuwa ukingoni ashinde, wambea wanasema walivyojua yupo hospital, wakafanya yao. Mlinzi wake wakati anaingia chumbani alikuta hayupo. Ndo kuskia kelele kuwa kajirusha.kutoka gorofa ya tatu.Sana mimi mpaka leo siamini kama alijirusha mwenyewe.
Aliishi haswa, hakuna demu mzuri alimtaka akamkosa, na alivyowapata alijua haswa kuwafanya wajihisi ni malkia na ndoa inaiva.Aliwekeza sana kwenye aridhi, inasemekana alikuwa amenunua aridhi south, na alikuwa na mgogoro kesi iko mahakamani na alikuwa ukingoni ashinde, wambea wanasema walivyojua yupo hospital, wakafanya yao. Mlinzi wake wakati anaingia chumbani alikuta hayupo. Ndo kuskia kelele kuwa kajirusha.kutoka gorofa ya tatu.
Alivyokuwa mayai sana hata angetoka gorofa ya kwanza angekufa. Alikuwa mayai mpaka chupa ya Maji anafunguliwa😁😁ile team yake alokuwa akitembea nayo kila mtu alikuwa na kazi yake😂😂😂 in short aliishe maisha mafupi lakini mazuri sana.😀 tulimuenjoy sana ni kucheka mwanzo mwisho. Ila alikuwa genius balaa.
Wosia wake ndio uliniacha hoi.mahali atakapo zikwa. Wachaga walibaki mdomo wazi ilibidi wasafiri kumzika huko Kenya, tena kwenye makaburi ya nzengo. Achilia mbali mipesa yote alikuwa nayo. Rip mawala.
Huyu mpambaji nimemkubali sijui anaitwa nani.
Ahaaa kumbe ile team alokuwa akitembea nayo sio bure😁 kuna wa kumshikia notebook, kuna wa kumfungulia Maji, kuna wa kuotoka kalamu ikidondoka😀 kuna wa kumshikia koti😁 kuna wa kumfungulia mlango.etc hao wote anasafiri nao, wakifika wanaketi bench ya nyuma na vi suti vyao kama wahudumu wa hotel,😁😁na michuchumio yao.😂yaan kidada kikitoka kule nyuma kuja mbele kumfungulia Maji,😁 ni full attention😂😂hatupumui😀Aliishi haswa, hakuna demu mzuri alimtaka akamkosa, na alivyowapata alijua haswa kuwafanya wajihisi ni malkia na ndoa inaiva.