Mtoto wa Messi ataka asababishe balaa jijini Manchester

Mtoto wa Messi ataka asababishe balaa jijini Manchester

Watoto wengne ni wakorofi sana. Nackia alitaka mpira tangu game na Lyon sema jamaa hakufanikiwa akapiga 2. Safari hii kasema anamhakikishia atarudi na mpira[emoji28][emoji28]
Yuzo_China%2020190321_174604.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa taarifa nilizopata ni kwamba mtoto wa mwisho wa Messi amemuomba baba yake amletee mpira wa UEFA, sababu ni kwamba amemiss kuona mpira mpya wa michuano hiyo.
Je, Messi atatoa hela yake anunue mpira dukani au atauchukulia tu uwanjani?

Sent using Jamii Forums mobile app

Mguu wake utampatia huo mpira, master of freekick, King Messi
 
Back
Top Bottom