DOKEZO Mtoto wa Miaka 10 ameajiriwa kazi za nyumbani Kimara Stop Over, ananyanyaswa sana, Waziri Gwajima msaada wako unahitajika

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Dkt. Gwajima D
 
Nashukuru kwa habari hii,ila watanzania tujifunze kuwa na huruma;

Najua umeleta habari kama anonymous maybe huyo ni jirani yako,binafsi nakupa hongera kwa hatua hii;
Dkt. Gwajima D saidia basi japo hili,naamini kuna watu watu walio chini yako wangefanya ila basi tu;
 
Hii hii serikali iliyo-collapse ndiyo mnaitegemea? Hii hii serikali ambayo kuna mbunge aliingiza chupa kwenye makalio ya mwananchi mmoja na ikamkingia kifua? Kwa kifupi as long as CCM iko madarakani endeleeni kutegemea visa vya kuogofya!
 
Hivi katoto ka miaka 10 unaweza kukafanyisha kazi yoyote kweli?
Yani ni huzuni na hatari sana.Unaajiri mtoto mdogo wa miaka kumi ili atunze watoto na nyumba?Ni uvivu wa fikra,ukichaa,ukoloni,kukomeshana,visasi,wehu au ni nini hasa?Watoto wenyewe wa siku hizi ukuaji tu wa akili zao na upambanuaji wa mambo ni mgumu.Sasa akipewa majukumu ya ulezi inakuwaje?Hawa watu ni wa kuadhibiwa kwa utekaji,utumikishaji(watumwa) na ukatili.
 
Anzia serikali ya mtaani kwako na acha umbea kuingilia nyumba za watu. Muache aendelee kumtesa au uchukue huyo mtoto uishi nae kwako umlee vile unavyoona wewe inafaa.

Watoto wa mitaani watapngezeka Kwa serikali hii ya ccm.
Mkuu kichwa chako umekigeuza kuwa bustani ya kufugia nywele!
 
Jambo zuri kutoa taarifa mama Gwajima ataliona atatuma vijana wake wafuatilie,kuna mijjtu ina roho mbaya sasa uyo mtot siku anaweza choka mateso matokeo yake ataweka sumu aue familia asepe zake,
 
Matatizo madogo kama haya ndio ayatolee taarifa Kwa waziri?. Hapo mtaani kwao hakuna mjumbe, serikali ya mtaa hakuna?. Mambo madogo kama haya yadhughurikiwe na waziri?.
Hli siyo tatizo dogo bali ni tatizo la kitaifa. Huyo ni mmoja ya maelfu ya watoto wanaoteseka. Wananachi mtaani wameshaliona ni kama jambo la kawaida kwa sababu kila mtu anakimbizana na hali yake ya maisha kuzidi kuwa mbaya. Umaskini ni janga na hufanya watu wasiweze kuwaza logically. Njia iliyopo ni kuiondoa CCM ili kujiwekea precedence kuwa viongozi wasipofanya vizuri wanaondelewa kinyume na sasa ambako wale wanaoharibu ndiyo wanapewa shavu.
 
Kwa nini msitoe ripoti kwa mjumbe?
Kutoa kwa waziri si kosa.Ukimtaja tu waziri umewafikia wote kuanzia balozi,mwenyekiti wa mtaa na wajumbe wake,mtendaji wa mtaa na mgambo wake,afisa ustawi jamii,afisa maendeleo jamii,mtendaji kata na polisi kata wake/askari jamii,afisa maendeleo jamii wilaya na mkoa,mkurugenzi wa wilaya na manispaa,DAS,DC,RAS,RC nk.Nini shida?Halafu si hivyo tu.Hadi wewe na mimi tumejua mama Nancy ni shida mtaani(hadi itakavyothibitika).
 
Anzia serikali ya mtaani kwako na acha umbea kuingilia nyumba za watu. Muache aendelee kumtesa au uchukue huyo mtoto uishi nae kwako umlee vile unavyoona wewe inafaa.

Watoto wa mitaani watapngezeka Kwa serikali hii ya ccm.
Mkuu mwenzetu kizazi ulishakojoa maana sio kwa roho hiyo
 
Mkuu sawa! Lakini wananchi mngekuwa mmeshamripoti kwa mjumbe then ofisi ya Kata nadhani hatua za awali huenda zingeanza kuchukuliwa dhidi ya Nancy.
 
Niunganisheni na huyo mtoto nimsaidie kazi ataishi vizuri aachane na huyo mnyama anayemnyanyasa Kennedy
 
Mkuu sawa! Lakini wananchi mngekuwa mmeshamripoti kwa mjumbe then ofisi ya Kata nadhani hatua za awali huenda zingeanza kuchukuliwa dhidi ya Nancy.
Tutalifanyia kazi kipindi kijacho.Kwa sasa tunataka mama Nancy aonekane kwenye fidiu anatumikisha watoto.Tungemwambia balozi tu,pengine wangeyamaliza kwa kununuliana mbege kimbo tatu.Pengine.Ila kwa waziri,mbona atajicheki!
 
Andika kwa kiswahili hayo maneno uliyoyaandika kwa kiingereza ili kutoa uwanda mpana wa uelewekaji.Usiandike kama JF ni jopo la maprofesa wanajadili namna ya kuchenjua makinikia ya Buzwagi.Wigwa Mwanamalundi?😎
I have life challenges of my own too you know not waste my repeating the obvious.

Watu unawapa module zinazo cover elimu ya diploma mpaka masters level on how to deal with the problem issues awajifunzi tu.

Sasa watu ambao awataki kujifunza unawasaidia vipi tena.

Na hiyo elimu ni 30% kwenye kutatua maswala ya unyanyasaji 70% ni propaganda huko TISS kama hawana hao watalaamu wa nationalism propaganda and social thinking shaping unasaidia vipi tena.

Hao watoto wata endelea-kulawiriwa kwa sababu serikalini kumejaa watu wasio na uelewa wa wa kupambana na hiyo vita.

Tuwe wakweli Dorothy Gwajima kwenye management ya afya hana mpinzani (hakuna huyo anaemuweza kwenye kuisamamia hiyo sector) wenyewe awamtaki sasa ufanyaje.

Kwa level yake ya uelewa hata hapo halipo hana mpinzani kwenye social services, lakini uhalisia hana uelewa mpana wa kupambana na hizi changamoto zake kama anavyojua matatizo ya afya huko ndio nyumbani kwakwe (Gwajima hana mpinzani kwenye afya) huku kwengine tunamlazimisha tu kwa sababu ni mtu wa kujali,
 

Attachments

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…