DOKEZO Mtoto wa Miaka 10 ameajiriwa kazi za nyumbani Kimara Stop Over, ananyanyaswa sana, Waziri Gwajima msaada wako unahitajika

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Nipo na wewe bampa tu bampa.Nakuelewa sana.Huu unaoufanya ndiyo utu sasa.Unamueleza mtu kiuhalisi kwa manufaa mapana ya jamii.Bravo,Bravo & Braa!(mbili na nusu hizo ndugu balozi).
 
yani uyo mama nitamchukua awe house girl wangu kisha nimnyanyase kama uyo mtoto
Dah!Jino kwa jino tena?Apewe elimu na kuminywa kidogo tu ili arudi kufundisha na kulea familia.Kisasi ni cha nani?
 
Katie taarifa kwa mtendaji wa mtaa tu , litashughulikiwa haraka
 
Mkuu umefanya vizuri kutoa taarifa, nishauri tu jamii kuishi vizuri na hawa wasaidizi wa kazi. Najua hata humu wapo wenye kuwapa manyanyaso hawa ndugu zetu, tuwape haki zao za msingi na malezi pia .
 
Kwa taarifa yako nchi inahitaji watu wa aina ya Dkt Doroth. Kiongozi asiyechoka na mwenye unyenyekevu 24/7. Style zenu za uongozi wa kulindana za kijinga mkome
Kwani nimesema Dorothea hahitajiki?
Ninachosema ni kwanini msiwasiliane na viongozi waliopo huko mashinani na badala yake kila kitu mnamtegemea mtu mmoja kama wajinga?

Hapo karibu na Stop Over kuna Kituo cha Polisi pale Kimara Mwisho (Terminal) na hili nalo hamlioni?
 
Nipo na wewe bampa tu bampa.Nakuelewa sana.Huu unaoufanya ndiyo utu sasa.Unamueleza mtu kiuhalisi kwa manufaa mapana ya jamii.Bravo,Bravo & Braa!(mbili na nusu hizo ndugu balozi).
Naelezea uhalisia tu.

Shida ya Dorothy Gwajima ni too girly, halafu anatabia zinazofanana na wanawake wakawaida (tofauti na level zake za akili) hapo ndio watu wanashindwa kumuelewa.

Msikilize sasa akitoa kichambo kwenye sector ya afya. Utaona anaropoka if you are not technicsl on what she is on about., lakini kama unauelewa wa procedures za management za afya, and what she is mournin about and how eclectic she is ndio utaelewa uwezo wake.

Thamani ya kitu inatokana na value ya watu wanayoina, Iła kwa Dorothy Gwajima her African girlish demeanour shouldn’t fool you she is a genius.
 
aje tu kwangu apa mengine nitaleta mrejesho
Sasa,hebu turudi "Rau madukani"!Tujiulize.Huyo mtoto ni wa nani?Ametokea wapi?Kwa nini aajiriwe uyaya kwa umri huo?Hapo awali aliishije?Wapi na wapi?Halafu turudi sasa kwa mama Nancy.Kwa nini amemchukua awe yaya wake?Ni yaya kweli?Ni ndugu in yayas disguise?Hitimisho;Mama Nancy atamalizana na serikali "kiungwana".Vipi muendelezo wa mtoto/"yaya" kimaisha yake?
 
Lakini,yeye ni mwanamke halafu huutaki "u-girly" wake?Mwanamke in a very simple narration,is a big girl.
 
Matatizo madogo kama haya ndio ayatolee taarifa Kwa waziri?. Hapo mtaani kwao hakuna mjumbe, serikali ya mtaa hakuna?. Mambo madogo kama haya yadhughurikiwe na waziri?.
...Kwako hili ni Jambo dogo. na halina Hadhi ya Kumshughulisha Waziri ??? [emoji848][emoji848]
hao Serikali ya mtaa SI WALIPASWA kuliona ??
 
Anzia serikali ya mtaani kwako na acha umbea kuingilia nyumba za watu. Muache aendelee kumtesa au uchukue huyo mtoto uishi nae kwako umlee vile unavyoona wewe inafaa.

Watoto wa mitaani watapngezeka Kwa serikali hii ya ccm.
Point ni moja tu hapo kuanzia serikali ya Mtaa ila vingine umeongeao nonsense kabisa
Otherwise huna mtoto ndo maana unaongea utumbo kama huu
 
Lakini,yeye ni mwanamke halafu huutaki "u-girly" wake?Mwanamke in a very simple narration,is a big girl.
Hapo anapokuwa too girly ndio watu wanamchukulia poa.

Ndio kama bungeni alipokuwa anaongelea mmomonyoko wa maadili kha ndio alijize vile, ata wanawake wenzake ambao awafikii akili zake hawana madoide yake (but that’s her personality) too girly.

Ukiachana na Dorothy ambae kichwa, ukiwauliza watanzania nani mwamamke kichwa bungeni not many can tell you Ndalichako ndio mwenye degree ngumu (kati ya wabunge wa jinsia zote) nonetheless she is a very bad politician na ukimsikiliza uoni dalili za uwezo wake. Tofauti na Dorothy even spontaneously kwenye vichambo vyake she is academic.

Dorothy Gwajima ni genius

Good morning 👋
 
duuuh,,apo kingine tunaweza sema tumtoe pale yule mtoto kumbe mazingira aliyotoka ndo magumu zaidi ya hayo kwa mama Nancy,coz miaka 10 ni mdogo sana jamani,lazima kuna mengi nyuma ya pazia,,sawa atatolewa pale je anaweza pata msaada wa kudumu !?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…