T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 12,362
- 41,886
Kuna dogo alikuja form one nikiwa A level shule moja ya kaskazini ya serikali. Alitoka boarding shule ya Mwanza na alikuwa uko tokea mdogo. Kwao ni wa mwisho na ana dada wawili. Yule dogo alikuwa mlegevu sana yani kuanguka kidogo tu anaumia, kubeba ndoo maji yanamwagika. Dogo anajua masuala ya fashion na mapambo mpaka party za wanafunzi anaitwa kusimamia kazi hizo.Dah mkuu umetaja nyumbani huko kesi kama hizo zilikuepo na zipo za watoto wa kiume kibakwa na watoto wa kike kutongozwa na kusnza umalaya ndani ys miaka michache baada ya kuzaliwa kama vile mtoto kazaliwa miaka 12 iliyopita ns yeye anatongozwa mtihani sana.
Nina mdogo wangu anasoma huko huwa namjenga kisaikolojia kila baada ya siku mojs ama mbili namuweka wazi kuwa ushoga upo na matendo hsyo yapo ni mabaya sana.na ninampa hoja za wazi na mwenyewe anaona mpka sasa hivi nimekuwa kama motivational speaker wake mana huniskiliza kwa makini sana.
Huu ulimwengu sio wa kumficha mtoto kitu,ukimficha wengine wanamshawishi kwa njia ya kumfanganya na anaingia kwenye kundi.
Kuna mama mmoja alimfundisha mwanae kuwa usikubali mtu yeyote akuvue nguo na kukushika,awe atakae kuwa usikubali na ukimbie huku ukipiga kelele.
Basi mama yule kuna siku alienda na mwanae hospitali daktari anamvus nguo smchome sindani mbele ya mama yake yule mtoto bado hataki kabisa analia anamuambia mama yake kuwa sitaki kuvus nguo.
Mpaka mama mwenyewe ikabidi ampoze yule mtoto kuwa usijali mimi mama yako nipo na hiyo ni sindano tu.mtoto ndo akakubali.
Hizi ndo mindset tunatakiwa kuwapa watoto wetu yani ifikie hatua mwanao asimuamini mtu yeyote kuwa ni mwema mnooo kama vile shekhe au padre kwa sababu moyo wa mtu ni kichana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nikawa namkazania kwanini anakaa sana na watoto wa kike na kujichekesha ovyo. Nilikuwa kama brother wake nikipokea hela yake ya matumizi na kusimamia masuala yake akiumwa na hata alipolazwa ndo nikaja gundua dogo hamna kitu kipindi yuko form two. Nikatafuta rafiki zake walotoka naye primary ndo wakanieleza alivokuwa tokea kule.
Nikakagua vitu vyake maana nilikuwa nakaa funguo zake nikakuta vitu vya kikekike. Mtoto wa kiume badala ya kuchora SpiderMan au Thor yeye amejaza michoro ya Sofia the mermaid na Balerina.
Nikaja shtuka kuona kimemo kutoka kwa rafiki yake wa darasa moja waliotoka shule moja akimjulisha wakutane saa tatu usiku mapema kabla watu hawajatoka prep. Wale madogo walikuwa close sana sema sitaki kuamini kabisa kitu hiki wanafanyiana. Huyu mwingine alihamishwa na baba yake kabla sijamfatilia sana. Huyu aliyebaki akaja kumtogoza dogo wa form three wa kiume kwamba anampenda. Hiyo kesi tukaimaliza chinichini kwanza angenidhalilisha maana nilijulikana kama kaka yake. Nikachukua ushaidi kutaka kumueleza mama yake nikafikiria moyo ukasita. Hatimaye nikaacha dunia izunguke.