Mtoto wa miaka 6 adaiwa kufariki baada ya umeme kukatika akifanyiwa upasuaji. Mkurugenzi asema hawana uwezo wa kufanya upasuaji wilayani humo

Mtoto wa miaka 6 adaiwa kufariki baada ya umeme kukatika akifanyiwa upasuaji. Mkurugenzi asema hawana uwezo wa kufanya upasuaji wilayani humo

Nipo karibu na FQ hotel hapa mbeya huwa hizo stand by generator zipo active sana mana huwezi kukuta wapo giza au hakuna umeme hyo ni biashara tu.

Lkn tukisema umeme wa serikali umesababisha tunakosea mana unajua ni maisha ya watu kwanini hawaweki hizo generator kama mahitaji ya msingi ya hospital ( uongozi wa hospital wameshindwa kutekeleza majukumu yake )

Lakini kama walitoa mahitaji yao kama hospital na wameshindwa kupewa kusingekuwa na ulazima wa kuweka hyo huduma kuepusha vifo kama hivyo.
 
Moja: Hii nchi iache utani, tupate umeme wa uhakika..
Mbili: Inamaanisha hio Hospitali hawajui matatizo haya ya umeme na hawana back-up?
Tatu: RIP, Mtoto
 
Kuna taarifa inasemekana mtoto mwenye umri unaokadiriwa kuwa kati ya miaka 6 hadi 8 amefariki dunia baada ya umeme kukatika katika Hospitali moja iliyoko Wilaya ya Mkinga Mkoa wa Tanga wakati mtoto huyo akifanyiwa operesheni.
mari Mgumba, Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu na Waziri wa OR- TAMISEMI, Angela Kairuki hivyo ukweli utajulikana haraka.
 

Attachments

  • IMG_6743.MP4
    19.5 MB
Serikali ya CCM imeshajiridhisha pasipo shaka kuwa wanaongoza kundi la ng’ombe.
1671113550989.jpeg
 
Kuna taarifa inasemekana mtoto mwenye umri unaokadiriwa kuwa kati ya miaka 6 hadi 8 amefariki dunia baada ya umeme kukatika katika Hospitali moja iliyoko Wilaya ya Mkinga Mkoa wa Tanga wakati mtoto huyo akifanyiwa operesheni.

Mtoto huyo inasemekana alikuwa anafanyiwa upasuaji mdogo kwenye Pua baada ya umeme kukatika akapoteza maisha inasemekana mzazi wa mtoto huyo ni Kiongozi wa Dini.

Tatizo la umeme sasa linagharamu maisha ya watu bila kificho huku Mbunge wa Jimbo la Mkinga ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Nishati, Mhe Dastan Kitandula akiwa kimya wananchi wake jimboni wanakufa hospitalini kwa umeme kukatika.

Viongozi wa Mkoa wa Tanga, Wizara ya Afya fuatilieni kwa umakini taarifa hii wilayani Mkinga ili mpate ukweli na hatua ziweze kuchuliwa kwa wote waliohusika na uzembe huu.

Tunaimani kubwa na Ufuatiliaji na uwajibikaji wa Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Omari Mgumba, Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu na Waziri wa OR- TAMISEMI, Angela Kairuki hivyo ukweli utajulikana haraka.
Inasikitisha sana
 
Kuna taarifa inasemekana mtoto mwenye umri unaokadiriwa kuwa kati ya miaka 6 hadi 8 amefariki dunia baada ya umeme kukatika katika Hospitali moja iliyoko Wilaya ya Mkinga Mkoa wa Tanga wakati mtoto huyo akifanyiwa operesheni.

Mtoto huyo inasemekana alikuwa anafanyiwa upasuaji mdogo kwenye Pua baada ya umeme kukatika akapoteza maisha inasemekana mzazi wa mtoto huyo ni Kiongozi wa Dini.

Tatizo la umeme sasa linagharamu maisha ya watu bila kificho huku Mbunge wa Jimbo la Mkinga ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Nishati, Mhe Dastan Kitandula akiwa kimya wananchi wake jimboni wanakufa hospitalini kwa umeme kukatika.

Viongozi wa Mkoa wa Tanga, Wizara ya Afya fuatilieni kwa umakini taarifa hii wilayani Mkinga ili mpate ukweli na hatua ziweze kuchuliwa kwa wote waliohusika na uzembe huu.

Tunaimani kubwa na Ufuatiliaji na uwajibikaji wa Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Omari Mgumba, Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu na Waziri wa OR- TAMISEMI, Angela Kairuki hivyo ukweli utajulikana haraka.

=====
Mkurugenzi MkingaM: MKINGA hatuna uwezo wa kufanya upasuaji

JamiiForums imefanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Wilaya ya Mkinga Mkoa wa Tanga ili kufahamu uhalisia wa tukio la kufariki kwa mtoto anayekadiriwa kuwa na miaka 6 hadi 8 kwa sababu ya kukatika kwa umeme, Mkurugenzi kakanusha kuwepo kwa Hospitali yenye uwezo wa kufanya upasuaji katika wilaya yake.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Mkinga, Zahara Msangi amesema: “Mkinga hatuna hospitali, tuna Zahanati na Vituo vya Afya, pia sidhani kama tuna kituo chenye uwezo wa kufanya oparesheni.

“Mkinga hatujawa na Hospitali ya Wilaya yenye uwezo wa kufanya operesheni kama hizo (ya pua), inawezekana aliyetoa hiyo taarifa amekosea kutaja jina la Wilaya.”
Huko kwa January Kamba ndo safi
 
Back
Top Bottom