Mtoto wa Michael Jordan, amepigwa picha akiwa anatumia dawa za kulevywa aina ya Cocaine

Mtoto wa Michael Jordan, amepigwa picha akiwa anatumia dawa za kulevywa aina ya Cocaine

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755

Marcus Jordan Mtoto wa Legend wa mpira wa kikapu duniani na gwiji wa NBA Michael Jordan, ameingia kwenye skendo kubwa na ya aibu baada ya kupigwa picha akiwa anatumia madawa ya kulevywa aina ya Cocaine,
-
Picha hizi zimepigwa na mapaparazi wa Ufaransa ambao kwao ni msimu mkubwa wa mapato kutokana na mastaa wengi nchini humo wakatoi huu wa michezo ya Olympics, Marcus alionekana akivuta unga mweupe wakati wa chakula cha mchana kwenye hotel moja huko Ufaransa.

Snapinsta.app_454496031_3622231891326858_5420767013951598684_n_1080.jpg
 
Hahhaa eti skendo kubwa.
Coke is a party drug,have tried certain times ila sikuifurahia. Its overated. Siku ukibahatika kualikwa kwa sherehe za watoto wa kishua wa IST and other foreigners hasa wamarekani utagundua coke is very common party drug.
 
Marcus Jordan mtoto wa Michael Jordan ambaye ni legend wa mpira wa kikapu nchini Marekani(NBA), ameingia kwenye skenfo kubwa na ya aibu baada ya picha zake kusambaa mtandaoni akiwa anatumia madawa aina ya Cocaine.

Marcus qalionekana akivuta unga mweupe wakati wa chakula cha mchana katika hoteli moja huko ufaransa.
Screenshot 2024-08-09 101341.png
 
Upuz mtupu

Ova
Yaani i think ile ni ya walevi wakitaka kukata pombe na kuendelea kunywa. Bora nichanje gomba au ule dawa kuliko ule upuuzi. Sema ukiiuzoea na ukakubali unakua na addiction kali na kwasababu ushaanza kula unga kuonja Heroin inakua easy ambayo Heroin ni more potent and highly addictive ndio hapo mtu akikosa pesa ya Coke anakula Heroin.
 
Wa kwetu wakitumia hivyo vitu wanaishia hapo stend, au huwa kuna daraja za hiyo?
Coke ina grade hadi tano , hao matajiri wanapiga latest grade wakati kwenu wanapiga lowest grade ambayo stim yake wanakua kama wehu husahau kuoga wala kula, wakati the light grade kama ya late manji ni brain refreshner
 
Back
Top Bottom