raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Ukiona mtoto wako ameanza kutumia hivyo vitu jua tayari kawa tajiri 😄Mimi hivyo vitu naviogopa mnooo...jamani Mungu atuepushie watoto wetu...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiona mtoto wako ameanza kutumia hivyo vitu jua tayari kawa tajiri 😄Mimi hivyo vitu naviogopa mnooo...jamani Mungu atuepushie watoto wetu...
Mpumbavu sana wewe.Hahhaa eti skendo kubwa.
Coke is a party drug,have tried certain times ila sikuifurahia. Its overated. Siku ukibahatika kualikwa kwa sherehe za watoto wa kishua wa IST and other foreigners hasa wamarekani utagundua coke is very common party drug.
Acha upumbavuCoke ina grade hadi tano , hao matajiri wanapiga latest grade wakati kwenu wanapiga lowest grade ambayo stim yake wanakua kama wehu husahau kuoga wala kula, wakati the light grade kama ya late manji ni brain refreshner
Chibu anavuta upi?Nilisikia kuna matabaka, ile quality grade ndio wanatumia matajiri, mtaani ni makapi na ndio yanakufanya uwe mwehu😂
Kutumia cocaine ndio skendo kubwa? Unaishi dunia ipi wewe?
Marcus Jordan Mtoto wa Legend wa mpira wa kikapu duniani na gwiji wa NBA Michael Jordan, ameingia kwenye skendo kubwa na ya aibu baada ya kupigwa picha akiwa anatumia madawa ya kulevywa aina ya Cocaine,
-
Picha hizi zimepigwa na mapaparazi wa Ufaransa ambao kwao ni msimu mkubwa wa mapato kutokana na mastaa wengi nchini humo wakatoi huu wa michezo ya Olympics, Marcus alionekana akivuta unga mweupe wakati wa chakula cha mchana kwenye hotel moja huko Ufaransa.
Kwahiyo Whitney Houston alikuwa anakulaga Lowest grade.. Akili za kijingaCoke ina grade hadi tano , hao matajiri wanapiga latest grade wakati kwenu wanapiga lowest grade ambayo stim yake wanakua kama wehu husahau kuoga wala kula, wakati the light grade kama ya late manji ni brain refreshner
Kwahiyo Whitney Houston alikuwa anakulaga Lowest grade.. Akili za kijingaHahhaa eti skendo kubwa.
Coke is a party drug,have tried certain times ila sikuifurahia. Its overated. Siku ukibahatika kualikwa kwa sherehe za watoto wa kishua wa IST and other foreigners hasa wamarekani utagundua coke is very common party drug.
Hizi lugha laini laini ndio ziliwaingiza kina chid ngwair n.k kwenye ungaukiwa na mitonyo mingi na matumizi mengi pia.
iyo ni starehe ya watu wenye nazo wanatumia vitu konk saana na uwez skia amekua chiz.
kama unatumia izo mazaga yaaan unazo,kikwetu kwetu ni skendo lkn wao ni ufahari
Hiyo sio Coke,wanatumia zaidi heroine tena ni yale mabushagu inachanganywa mpk na nya.Wa kwetu wakitumia hivyo vitu wanaishia hapo stend, au huwa kuna daraja za hiyo?
HahaaaaaWa kwetu wakitumia hivyo vitu wanaishia hapo stend, au huwa kuna daraja za hiyo?
TakatakaHahhaa eti skendo kubwa.
Coke is a party drug,have tried certain times ila sikuifurahia. Its overated. Siku ukibahatika kualikwa kwa sherehe za watoto wa kishua wa IST and other foreigners hasa wamarekani utagundua coke is very common party drug.
DuuuhUkiona mtoto wako ameanza kutumia hivyo vitu jua tayari kawa tajiri 😄
Mondi anatumia upi heroin au coke😎Hiyo sio Coke,wanatumia zaidi heroine tena ni yale mabushagu inachanganywa mpk na nya.
Coke haupati kwa 2000-3
Sijui kama anatumia,na kama anatumia ni hizo chafu coke.Mondi anatumia upi heroin au coke😎