Mtoto wa Michael Jordan, amepigwa picha akiwa anatumia dawa za kulevywa aina ya Cocaine

Mtoto wa Michael Jordan, amepigwa picha akiwa anatumia dawa za kulevywa aina ya Cocaine

ukiwa na mitonyo mingi na matumizi mengi pia.
iyo ni starehe ya watu wenye nazo wanatumia vitu konk saana na uwez skia amekua chiz.
kama unatumia izo mazaga yaaan unazo,kikwetu kwetu ni skendo lkn wao ni ufahari
 

Marcus Jordan Mtoto wa Legend wa mpira wa kikapu duniani na gwiji wa NBA Michael Jordan, ameingia kwenye skendo kubwa na ya aibu baada ya kupigwa picha akiwa anatumia madawa ya kulevywa aina ya Cocaine,
-
Picha hizi zimepigwa na mapaparazi wa Ufaransa ambao kwao ni msimu mkubwa wa mapato kutokana na mastaa wengi nchini humo wakatoi huu wa michezo ya Olympics, Marcus alionekana akivuta unga mweupe wakati wa chakula cha mchana kwenye hotel moja huko Ufaransa.

Kutumia cocaine ndio skendo kubwa? Unaishi dunia ipi wewe?
 
Hahhaa eti skendo kubwa.
Coke is a party drug,have tried certain times ila sikuifurahia. Its overated. Siku ukibahatika kualikwa kwa sherehe za watoto wa kishua wa IST and other foreigners hasa wamarekani utagundua coke is very common party drug.
Kwahiyo Whitney Houston alikuwa anakulaga Lowest grade.. Akili za kijinga
 
ukiwa na mitonyo mingi na matumizi mengi pia.
iyo ni starehe ya watu wenye nazo wanatumia vitu konk saana na uwez skia amekua chiz.
kama unatumia izo mazaga yaaan unazo,kikwetu kwetu ni skendo lkn wao ni ufahari
Hizi lugha laini laini ndio ziliwaingiza kina chid ngwair n.k kwenye unga
 
Hahhaa eti skendo kubwa.
Coke is a party drug,have tried certain times ila sikuifurahia. Its overated. Siku ukibahatika kualikwa kwa sherehe za watoto wa kishua wa IST and other foreigners hasa wamarekani utagundua coke is very common party drug.
Takataka
 
Watoto wengi wakishua wanashindwa kujitoa kwenye vivuli vya wazazi wao. Huishia kufanya mambo ya ajabu. Hata hivyo Cocaine haina shida kihivyo.
 
Back
Top Bottom