Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Thats heroinWa kwetu wakitumia hivyo vitu wanaishia hapo stend, au huwa kuna daraja za hiyo?
Nilisikia kuna matabaka, ile quality grade ndio wanatumia matajiri, mtaani ni makapi na ndio yanakufanya uwe mwehu😂Wa kwetu wakitumia hivyo vitu wanaishia hapo stend, au huwa kuna daraja za hiyo?
Upuz mtupuHahhaa eti skendo kubwa.
Coke is a party drug,have tried certain times ila sikuifurahia. Its overated. Siku ukibahatika kualikwa kwa sherehe za watoto wa kishua wa IST and other foreigners hasa wamarekani utagundua coke is very common party drug.
Litoto liberalisation limekuta mshuwa ana hela....kama akiliKwahiyo hela tunazonunulia jordan....yeye anaenda kununua cocaine
Yaani i think ile ni ya walevi wakitaka kukata pombe na kuendelea kunywa. Bora nichanje gomba au ule dawa kuliko ule upuuzi. Sema ukiiuzoea na ukakubali unakua na addiction kali na kwasababu ushaanza kula unga kuonja Heroin inakua easy ambayo Heroin ni more potent and highly addictive ndio hapo mtu akikosa pesa ya Coke anakula Heroin.Upuz mtupu
Ova
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] au Manzesee Darajani.Wa kwetu wakitumia hivyo vitu wanaishia hapo stend, au huwa kuna daraja za hiyo?
Coke ina grade hadi tano , hao matajiri wanapiga latest grade wakati kwenu wanapiga lowest grade ambayo stim yake wanakua kama wehu husahau kuoga wala kula, wakati the light grade kama ya late manji ni brain refreshnerWa kwetu wakitumia hivyo vitu wanaishia hapo stend, au huwa kuna daraja za hiyo?