Nilikuwa nakutania tu mkuu!!Kuna mtoto ukimuangalia tu huna haja ya kupima DNA,hahaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nilikuwa nakutania tu mkuu!!
Watoto wanavijitabia vyao utadhani ni watu wazima. Hilo litaisha tu. Ingekuwa analia mfululizo ningehisi labda hashibi maziwa ya mama yake.
Oohhhhhhhh my friend hiyo ndiyo sababu... Mtafutie zawadi mama na mtoto then omba msamaha piga hata goti be romantic wakati unampatia mkeo hiyo zawadi na hakikisha mtoto akuangalie wakati unatoa hiyo zawadi na awe shuhuda...Ishawah tokea mara moja tu,but ilikua ni bahati mbaya sana cuz najitahid kuwa mwenye kujali kiukwel
Hebu mfundishe kwa maelekezo afanyajeHujui kukaa na mtoto ndo shida wana mikao yao ambayo wanatulia alafu we utaona ni utumwa kumbeba hivyo
Kwa maelezo ngumuHebu mfundishe kwa maelekezo afanyaje
Mama akifurahi mtoto atafurahi mara mbili ya mama yakeOkay, thanks kwa tip hii muhim