Mwenda_Pole
JF-Expert Member
- Jul 5, 2008
- 281
- 66
wadau nahitaji msaada wenu, naamini wengi hapa wanafamilia au wanaufaham ufaham kuhusu mambo ya watoto.
Kuna mtoto wa mdogo wangu anaugua mara kwa mara. Mara ya kwanza mtoto alikua anatapika kila akipewa chakula.
kwenda dispensary ya karibu wakampima wakasema ana malaria. wakampa dawa na kumchoma sindano kuzuia kutapika.
hali ikatulia kidgo lakini baada ya kama wiki 2 tena ile hali ikajirudia. kwa sasa ni zaidi ya mara 3 ipo hivyo na wanamwambia ana malaria 2. kabadilishiwa dawa lakini wapi. Kaniomba ushauri nikasema ngoja niulizie kwa watu. Hivyo wadau naomba kuuliza maswali yafuatayo:
1) Ni hospital/Dispensary gani ambayo ni affordable lakini wanahuduma nzuri sana kwa uzoefu wako hasa mambo yanayosumbua watoto?
2) Kuna Dr yeyote wa watoto unayemfaham au hospital/Dispensary yake ambayo sio ghali sana anaweza kumpeleka huyu mtoto akachekiwe.
Ni hayo tu kwani nimeona inaweza kuwa tatizo ni zaidi ya hayo malaria 2 wanayomwambia kila akienda kwenye dispensary ya hapo mtaani kwako.
Natanguliza shukrani
Kuna mtoto wa mdogo wangu anaugua mara kwa mara. Mara ya kwanza mtoto alikua anatapika kila akipewa chakula.
kwenda dispensary ya karibu wakampima wakasema ana malaria. wakampa dawa na kumchoma sindano kuzuia kutapika.
hali ikatulia kidgo lakini baada ya kama wiki 2 tena ile hali ikajirudia. kwa sasa ni zaidi ya mara 3 ipo hivyo na wanamwambia ana malaria 2. kabadilishiwa dawa lakini wapi. Kaniomba ushauri nikasema ngoja niulizie kwa watu. Hivyo wadau naomba kuuliza maswali yafuatayo:
1) Ni hospital/Dispensary gani ambayo ni affordable lakini wanahuduma nzuri sana kwa uzoefu wako hasa mambo yanayosumbua watoto?
2) Kuna Dr yeyote wa watoto unayemfaham au hospital/Dispensary yake ambayo sio ghali sana anaweza kumpeleka huyu mtoto akachekiwe.
Ni hayo tu kwani nimeona inaweza kuwa tatizo ni zaidi ya hayo malaria 2 wanayomwambia kila akienda kwenye dispensary ya hapo mtaani kwako.
Natanguliza shukrani