Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa si wa kucheka nao.Huyo Kagame ni wa kumueliminate tu.Wala si wa kunegotiate nae.Sema sijawahi ona watu vilaza kama wacongo.Hawa jamaa wanajifanya untouchable , dawa yao iko jikoni
Huyu ni mpumbavu, baba mpumbavu, mama mpumbavu , alafu msemo wako atakuwa na ulevi fulani hiviHili dogo ni pumbavu sana, sijui hata linavuta bangi gani.
Kama siyo babaake huyu sijui angekua wapi?
Jinga jinga tu baaba, baaba huku una 40+.
Anasema kwa Uhakika huyo na hivi sera zake zinaendana na Trump, ndio kabisa banasema kwa Uhakika wa hali ya Juu. Unafikiri hiyo confidence katoa wapi?Hahaha huyu anaota mkuu
Nenda kampala ukaseme hayo uone 😂😂😂😂😂Hili dogo ni pumbavu sana, sijui hata linavuta bangi gani.
Kama siyo babaake huyu sijui angekua wapi?
Jinga jinga tu baaba, baaba huku una 40+.
Hili jamaa jinga jinga tu.
Huyu dogo nadhani alifanywa ndondocha na baba yake. Lakini ndo kioo cha kuangalia watoto wengi wa wakubwa hawana akili. Wapo hata Tz