Mtoto wa mwaka na nusu hatembei

 
Pia jamaa ananiambia kipindi cha nyuma alishawahi kuugua ugonjwa wa Manjano nadhani ndio imeleta shida zote hizi.
 
kwa mujibu wa coments nyingi inaonesha huyo mwenye mtoto huenda akawa ndio wale wa maisha ya kizungu, mtoto mda wote anatembezwa kwenye kitoroli... mwambie huyo mzazi abadilike
Hapana huyu ni wa hali ya chini kabisaa kabisaa ni maskini kabisa, baba yake ana vibarua vya hapa na pale tu vya kumuingizia kipato, yaani hayupo kwenye ajira rasmi.
 
Wa kwangu ana miaka na miezi miwili anasimama ila hatembeii je ni tatizoo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…