Mtoto wa mwezi mmoja (siku 30) kutopata choo

mkuu pamoja na ushauri wa watu wengine, hiyo ni hali ya kawaida hasa kama hasumbui (hasa kujinyonganyonga sehemu za kiwiliwili) atapata tu choo! lakini ni vema kumuona specialist amtazamie kabisa, manake sisi wengi tuongea kwa experience tu!

Huwa anatoa hewa tu ( fart ) mara kwa mara
 
Edward Chapa Karibu kwenye jumuiya. Nahisi huyo ni mtoto wako wa kwanza!Ni hali ya kawaida. Kama anaendelea kunyonya, hakuna shida. Kama una mashaka sana, mpeleke hosipitali ya watoto (siyo zahanati za mitaani).
 
Last edited by a moderator:
kuliko kumpa kitu chochote, mpeleke kwa specialist wa watoto akushauri cha kufanya, though ni kawaida kwa watoto wachanga kukosa choo ila siku 7 kama nyingi vile
Nasikia kuna mtu
ameniambia kuna dawa inaitwa mafuta ya samaki nimpatie, je kuna dawa
kama hiyo kwa mtoto wa 30 days naona kama ni hatari??
 
Nenda hospital cyo uende kwa Doctor ili mradi nenda kwa specialist wa watoto....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…