Edward Chapa
Member
- Jun 30, 2012
- 72
- 12
Habayi za Mapumziko ndugu, poleni na majukumu.
Mimi ni baba wa mtoto wa kike wa umri wa siku 30
( mwezi mmoja) hajapata choo leo ni siku ya 7 (wiki),na
anatumia maziwa ya mama.
Tatizo nini??
Nimpatie dawa gani??
Naombeni ushauri ,sababu napatwa na presha.
Mimi ni baba wa mtoto wa kike wa umri wa siku 30
( mwezi mmoja) hajapata choo leo ni siku ya 7 (wiki),na
anatumia maziwa ya mama.
Tatizo nini??
Nimpatie dawa gani??
Naombeni ushauri ,sababu napatwa na presha.