Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Wadau hamjamboni nyote?
Leo nimeumia kweli. Nipo na rafiki yangu ananiambia habari za mtoto wake Umri miaka 7.
Karudi mtoto huyo amwambia babake kuwa kamsikia mtu mmoja huko mtaani akimwambia mwenzake "take care" hivyo amuuliza babaye nini maana yake!
Nimemuuliza rafiki yangu huyo mwanae anasoma shule gani akaibu yupo shule moja isiyo English medium maeneo ya Mtongani.
Mchana mwema
Leo nimeumia kweli. Nipo na rafiki yangu ananiambia habari za mtoto wake Umri miaka 7.
Karudi mtoto huyo amwambia babake kuwa kamsikia mtu mmoja huko mtaani akimwambia mwenzake "take care" hivyo amuuliza babaye nini maana yake!
Nimemuuliza rafiki yangu huyo mwanae anasoma shule gani akaibu yupo shule moja isiyo English medium maeneo ya Mtongani.
Mchana mwema