Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Kitu gani kinakufanya uone nimekasirika wakati nimeandika facts tupu?mbona umekasirika
Kukasirika kuko wapi hapo? Hebu weka maneno yangu tuyachambue factually tuone kama ni kweli au si kweli, halafu tuchambue wewe umejuaje nimekasirika.
Inawezekana wewe ndiye mwenye uwezo mdogo wa kuchambua mambo, mtu akishikikia facts tu, wewe unaona kakasirika.