Mtoto wa Rais Museveni atangaza kustaafu utumishi wa Jeshi mwaka huu

Mtoto wa Rais Museveni atangaza kustaafu utumishi wa Jeshi mwaka huu

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
Mtoto mkubwa wa Rais wa Uganda Yoweri Museveni anasema kuwa atastaafu kutoka jeshi mwaka huu, baada ya karibu miongo mitatu ya kuhudumu ndani ya Jeshi.

Muhoozi Kainerugaba, jenerali wa jeshi, alitoa tangazo hilo katika chapisho la Twitter.

"Nitastaafu UPDF mwaka huu," alitweet.

Alitoa tangazo sawa na hilo kwenye Twitter mnamo Machi mwaka jana alipokuwa kamanda wa vikosi vya nchi kavu. Lakini jeshi lilisema halijapokea rasmi ombi la kustaafu la Bw Kainerugaba.

Matamshi yake ya hivi punde ya kustaafu yanakuja siku chache baada ya kufuta ujumbe wa Twitter akitangaza kuwa atagombea urais 2026.

===================

The eldest son of Uganda’s President Yoweri Museveni says he will be retiring from the army this year, after almost three decades of service.

Muhoozi Kainerugaba, an army general, made the announcement in a Twitter post.

“I will be retiring from the UPDF this year,” he tweeted.

He made a similar announcement on Twitter in March last year when he was the commander of land forces. But the army said it had not officially received Mr Kainerugaba's retirement request.

His latest retirement remarks come days after he deleted a tweet announcing that he will stand for the presidency in 2026.

The tweeting general has not hidden his ambition to take over the top job from his 78-year-old father, who has led Uganda since 1986.

The Ugandan law does not allow serving soldiers to participate in politics.

BBC
 
Huyo ni comedian kama alivyo Mkojani.

Anatafuta kiki
 
Ni vyema mtu kujichagulia kazi uitakayo, sio kupangiwa pangiwa kazi (maisha) na wengine.
 
Wewe burukenge kwani kuna ubaya gani yeye akigombea kwani hana haki refer Bush Family and Mwinyi family!

Kwa kuwa umejaa ujinga utabakia na fikra za kuwasema wenzio hivyo hivyo kama alivyokuwa babako!
 
Back
Top Bottom