Mtoto wa Rais wa Liberia, Timoth Weah ameifungia Marekani goli dhidi ya Wales

Mtoto wa Rais wa Liberia, Timoth Weah ameifungia Marekani goli dhidi ya Wales

dr namugari

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2022
Posts
10,466
Reaction score
18,206
Weaha.jpg

Timothy Weah ni mtoto wa Rais wa Liberia, George Weah ambapo jana aliweza kuipatia goli moja kabla ya Wales kuja kuzawazisha kwa mkwaju wa penat iliyopigwa na Gareth Bale.

George weah imesemekana amechukua per diem ya milion 4 kwa siku moja kwenda Qatar kumtizama mwanae anayekipiga huku USA na bahati nzuri jana hiyo mwanae ameweza kumfurahisha baba yake kwa kuipatia goli la kwanza Marekani.

Ajabu ni kwamba baba ake amewahi kutwaa tuzo ya mchezaji bora wa kwanza muafrica ballon d or lkn ajabu hakuwahi kucheza michuano yoyote ya kombe la dunia.

Sasa naomba niulize huyu mtoto ni wa nje ya ndoa au ndo wale wa kusema ujanani
Kudos sana Timothy Weah kwa goli lile la kitalamu naiona Marekani na England wakisonga mbele

USA 1
Wales1
England 3
Iraq 0

Nawasisilisha kwa sasa Simanjiro
 
Mtoto ni mtoto ambaye ametokana na mbegu za kiume kukutana yai lilopevuka la kike, uchavushaji ukafanyika, mimba ikatungwa na kukua hatimae mtoto akazaliwa.

Watoto wote ni sawa bila kujalisha wamezaliwa ndani ya ndoa au lah. Achana na ubaguzi wa fikra za ndoa.
 
Mtoto ni mtoto ambaye ametokana na mbegu za kiume kukutana yai lilopevuka la kike, uchavushaji ukafanyika, mimba ikatungwa na kukua hatimae mtoto akazaliwa.

Watoto wote ni sawa bila kujalisha wamezaliwa ndani ya ndoa au lah. Achana na ubaguzi wa fikra za ndoa.
Sawa mkuu nilokuwa nauliza tu lkn
 
England ilicheza na Iraq? this guy😅😅😂
Akili yake iko kwenye per diem, imemvuruga. Sasa sijajua hizi ni shilingi au dollar.

Kama ni shilingi mbona pesa ndogo sana kwa hadhi ya rais wa nchi. Labda iwe kaenda kama rais wa TFF ya Liberia😀😁
 
Ujue iyo Liberia ni ubavu wa USA ata uyo Rais aliobwa sana aichezee USA alikataa check ata bendela zao Zina fanana kwa mbali
Sahih wamerekani wengi pia wametoka free town
 
Back
Top Bottom