The Dark Father
JF-Expert Member
- Oct 9, 2017
- 1,144
- 1,408
Ah wapDogo fala ,demu wa baba muheshimu kama mama yako wa kambo. Anapoana kila siku ulikozaliwa we we.
Hapo mwisho unamaanisha nn?
Wew si kila kiumbe kinastahili kuitwa MAMA wew shenztypDogo hana adabu!!! mpenzi wa baba yako ni mama yako!!! ungemtaja ni " MAMA" badala ya kumwita mpezi wa baba
Haki tena ni nini hii?
Haki tena ni nini hii?
Mie naomba kuuliza kwani wakwetu alikuwa na wapenzi wangapi?
Ukimsikiliza mtoto mkubwa utajua Zama aliwachukiza sana Nandy naona alikuwa faraja kubwa kwa baba yake lakini sasa naye boss mbona kama alijichanganya sanaaa?? Siri anayo mwenyewe
RIP Bro!
Njaa mbaya sana[emoji2960]
Waooooooooooo! Haya mko wapi wenye miwivu yenu, wengine eti nandy anajipendekeza nfyuuuuuuuuuxLeo tarehe 01 May ni siku ya kumbukizi ya kuzaliwa kwa Marehemu Ruge Mutahaba aliyetangulia mbele za haki miezi miwili iliyopita. Siku ya jana Mwanaye Mwachi Mutahaba aliongea na Millard ayo kuelezea mahusianao ya marehemu baba yake na msanii wa bongofleva Nandy..tazama hapa
Hahahahaha majangaAnaizungumzia vipi video ya mpenzi wa baba yake akitiwa madole ya mk@@@ndi au hajaulizwa?