MTOTO WA RUGE "NANDY ALIKUWA MPENZI WA BABA"

MTOTO WA RUGE "NANDY ALIKUWA MPENZI WA BABA"

Haki tena ni nini hii?
Mie naomba kuuliza kwani wakwetu alikuwa na wapenzi wangapi?
Ukimsikiliza mtoto mkubwa utajua Zama aliwachukiza sana Nandy naona alikuwa faraja kubwa kwa baba yake lakini sasa naye boss mbona kama alijichanganya sanaaa?? Siri anayo mwenyewe
RIP Bro!
 
Alikua na wengi
Haki tena ni nini hii?
Mie naomba kuuliza kwani wakwetu alikuwa na wapenzi wangapi?
Ukimsikiliza mtoto mkubwa utajua Zama aliwachukiza sana Nandy naona alikuwa faraja kubwa kwa baba yake lakini sasa naye boss mbona kama alijichanganya sanaaa?? Siri anayo mwenyewe
RIP Bro!
 
Kuwa na heshima we kijana, au mama wa kambo hastahili kuheshimiwa?[emoji4][emoji2955][emoji2955]
 
Leo tarehe 01 May ni siku ya kumbukizi ya kuzaliwa kwa Marehemu Ruge Mutahaba aliyetangulia mbele za haki miezi miwili iliyopita. Siku ya jana Mwanaye Mwachi Mutahaba aliongea na Millard ayo kuelezea mahusianao ya marehemu baba yake na msanii wa bongofleva Nandy..tazama hapa

Waooooooooooo! Haya mko wapi wenye miwivu yenu, wengine eti nandy anajipendekeza nfyuuuuuuuuux
 
Back
Top Bottom