June 1 2013 ulikuwa mwanaume, leo hii mwanamke.
Jf iko speedView attachment 1039810
Sent using Jamii Forums mobile app
Haeleweki kuna post yake alisema yy ni Me, atakuwa shoga huyuKumbe we ni wa kike...ndo maana umbea mwingi...nilikuwa najiuliza huyu mwanaume gan kila saa anapost shudu!?
Sent using Jamii Forums mobile app
Na ndio maana ile risala siku ile ilikuwa inampa shida kusoma, kumbe kazoea kiinglish 😀 😀 😀Huyu Mwachi anaishi US?..kumbe ndo maana habari zake hazijulikani bongo!
Sent using Jamii Forums mobile app
Inaweza kuwa ni namna ambavyo mtoto mwenyewe alikuwa anatamka jina lake wakati anaanza kujitunza kuongea, kwhy from hapo ndio hilo jina likazoeleka hivyo.Junior aka yake ni Juju?? Sio Jr.?? Smh
Na kwenye akaunti sidhani km walikwangua zote.Hawakuuza nyumba ujue
Uko sawa kbsKama una watoto utalielewa hili,kuna aka mnatunga wazazi au ndugu tu na mara nyingi yeye mwenyewe mtoto ukimuuliza jina lako nani mfano anaweza kutamka juju badala ya Junior na familia inaendelea na hiyo aka ni vitu vya kawaida sana,mfano mzuri Ricardo "Kaka" mchezaji wa Brazil,jina la kaka ni aka ya Ricardo alipewa na familia baada ya mdogo wake kumuita kaka badala ya Ricardo!
Nikuulize wewe sasa "Je aka ya Ricardo ni kaka?
Sent using Jamii Forums mobile app
Shangaa na ww, hayo ya jinsia yake sie wala hatuna habari nayo. Tunachojali ni ubuyu na story zake tu 😀 😀 😀mnatumia akili nyingi kujadili vitu they were meant to be funny!
warumi akiwa mwanaume au mwanamke inakusaidia au kukuathiri nini?
akiwa shoga au mpunga au mchicha mwiba we inakupunguzia nini?
Yani kuna vitu waja mnahangaika navyo maskini mpk mnasahau hii ni cyber world tu!
YEYOTE ANAWEZA KUWA YEYOTE KULINGANA NA CHOCHOTE ALICHOPANGA KUTUMIA KWENYE ULIMWENGU HUU!
sidhani kama miongoni mwa matatizo yako uliyonayo mojawapo ni kujua jinsia ya warumi
TUNAMPENDA NA AINA YAKE HII YA UANDISHI!
hayo mengine hayatuhusu kabisa!
sisi tunaomfurahia na huu ubuyu, wala hatusumbui!
NYIE MNAOKATIZA HUKU KAMA MNAKIMBILIA CHOO CHENYE NGAZI, saaaasaaaa?
PSYUUUUUUUUUUUUUUU
Khs mama yake inasemekana alishafariki kitambo.Mama yao upo wapi?
Duller ndio atakuwa ka copy huku. Ya huku ilianza kabla duller hajawekaNImeona post kama hiihii instagram kwa dulla_square , kwanini unacopy na kupaste?
Write your reply...
Kwaiyo mtoto akiwa anakosea kitu au anafanya kitu ambacho kinapingana na jinsia yake utamuacha tu ama utamrekebisha?Inaweza kuwa ni namna ambavyo mtoto mwenyewe alikuwa anatamka jina lake wakati anaanza kujitunza kuongea, kwhy from hapo ndio hilo jina likazoeleka hivyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
hizo nyege zako ni za nchi gani wewe?,halafu nina mashaka wewe usikute ni dume tena bwabwa uandishi wako si wa mwanamke
KabisaaaaMtanishawishi nianze upya, ahahah mbona humu mtahama
Sent from my iPhone using JamiiForums