Mtoto wa Ruge ni shidaa...

Mtoto wa Ruge ni shidaa...

hizo nyege zako ni za nchi gani wewe?,halafu nina mashaka wewe usikute ni dume tena bwabwa uandishi wako si wa mwanamke
 
Kama una watoto utalielewa hili,kuna aka mnatunga wazazi au ndugu tu na mara nyingi yeye mwenyewe mtoto ukimuuliza jina lako nani mfano anaweza kutamka juju badala ya Junior na familia inaendelea na hiyo aka ni vitu vya kawaida sana,mfano mzuri Ricardo "Kaka" mchezaji wa Brazil,jina la kaka ni aka ya Ricardo alipewa na familia baada ya mdogo wake kumuita kaka badala ya Ricardo!

Nikuulize wewe sasa "Je aka ya Ricardo ni kaka?

Sent using Jamii Forums mobile app
Uko sawa kbs

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mnatumia akili nyingi kujadili vitu they were meant to be funny!
warumi akiwa mwanaume au mwanamke inakusaidia au kukuathiri nini?
akiwa shoga au mpunga au mchicha mwiba we inakupunguzia nini?
Yani kuna vitu waja mnahangaika navyo maskini mpk mnasahau hii ni cyber world tu!
YEYOTE ANAWEZA KUWA YEYOTE KULINGANA NA CHOCHOTE ALICHOPANGA KUTUMIA KWENYE ULIMWENGU HUU!
sidhani kama miongoni mwa matatizo yako uliyonayo mojawapo ni kujua jinsia ya warumi
TUNAMPENDA NA AINA YAKE HII YA UANDISHI!
hayo mengine hayatuhusu kabisa!
sisi tunaomfurahia na huu ubuyu, wala hatusumbui!
NYIE MNAOKATIZA HUKU KAMA MNAKIMBILIA CHOO CHENYE NGAZI, saaaasaaaa?
PSYUUUUUUUUUUUUUUU
Shangaa na ww, hayo ya jinsia yake sie wala hatuna habari nayo. Tunachojali ni ubuyu na story zake tu 😀 😀 😀

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hizo nyege zako ni za nchi gani wewe?,halafu nina mashaka wewe usikute ni dume tena bwabwa uandishi wako si wa mwanamke

Sasa povu la nn? Au unamtaka mwachi na ww? Maana umetapika kama unatak tu share dud?


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mi nadhani wakuu wa mikoa wangeanzisha uTARATIBU WA KILA MKOA kila KATA watu wapimwe akili..sio siri tunahitaji kujua afya za Akili zetu maana kwa mwendo Huuu,,,SIJUI
 
Ebu niondoke huu mtaaa sio salama kbsa,naskia kupasua mtu kila nkisoma Pumba
 
Back
Top Bottom