Mtoto wa Ruge ni shidaa...

Kilimpata nini?
 
Kuna mdau alisema picha yake
mwachi ataombea mkopo crdb😁😁😁😁😁
 
Hata Mimi


Sent from my iPhone using JamiiForums
Afu nilikuwa nawaza ni mmbea gani atakaenipa taarifa za nandy?😂

Warumi, naskia huyo mtoto ndio sababu ya nandy. Kulia kwa uchungu kupitiliza kumkosa Ba mkwe

Je nandy ana umri gani asije mbemenda mtoto wa watu wakati wewe upo?😁
 
Akili za mtanzania zinawaza ngono ngono ngono badala ya kupambana kujipatia visenti.Tanzania ya viwanda naViwanda vyenyewe ni vya Watumi.

Mimi kudanga Ndo maisha yangu


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mbona wanasema nandy boss ndo alikuwa anamkula, na ndiye aliyetaka kuolewa na boss,
Afu nilikuwa nawaza ni mmbea gani atakaenipa taarifa za nandy?[emoji23]

Warumi, naskia huyo mtoto ndio sababu ya nandy. Kulia kwa uchungu kupitiliza kumkosa Ba mkwe

Je nandy ana umri gani asije mbemenda mtoto wa watu wakati wewe upo?[emoji16]
Na ndiye aliyempa hasira zama kuolewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Y
Mbona wanasema nandy boss ndo alikuwa anamkula, na ndiye aliyetaka kuolewa na boss, Na ndiye aliyempa hasira zama kuolewa

Sent using Jamii Forums mobile app
Yawezekana, maana alikuwa anatambulika ma mc wote walimpa kipaumbele kila stage alitajwa nandy bila kuunganishwa na wasanii wenzake.

Ila nae mzembe, itakuwaje akose hata copy ya ruge?😂
 
Handsome/Beautiful kweli ni opinion
Hivi huyu ndo handsome wa kufanya mtu apagawe hadi kuandika thread!!?
Kwel uzuri upo machoni pa atazamae

Sent using Jamii Forums mobile app

Huwa napata wasiwasi sana mwanaume akipinga au kukubali kuhusu u-handsome au u-kibamia wa mwanaume mwenzio,

Wadada ndo wanajua nini wanataka mzee

Ni kama sisi wanaume tunavyowachambuaga watoto wa kali

Sioni sababu ya wewe kupinga mwamba ni handsome

Waache wadada wamdadavue
 
Haha mwambie huyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Phina kawekwa sana mageton na bro toka kiko magomeni kwa mama yake,pika sana ugali magetoni then hao magomen church,hawa madem bana.sema kana sura ngumu.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Japo ni utani ila hii notion ya kusema mtu mpole rahisi kumpanda kichwani ifuteni. Hakuna mtu hatari na asiyetakiwa kuchezewa kama mtu anyetumia maneno machache na mtaratibu wa tabia.

Sent using Jamii Forums mobile app

Napendaga wanaume wapole kweli


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…