Stanley Mitchell II
JF-Expert Member
- Jul 2, 2018
- 970
- 1,323
Kwani uyo jamaa ni mtoto sasa mbona njemba kubwa kabisa iyo si karibu 30 somethin??Afu nilikuwa nawaza ni mmbea gani atakaenipa taarifa za nandy?[emoji23]
Warumi, naskia huyo mtoto ndio sababu ya nandy. Kulia kwa uchungu kupitiliza kumkosa Ba mkwe
Je nandy ana umri gani asije mbemenda mtoto wa watu wakati wewe upo?[emoji16]