Mtoto wa Ruge ni shidaa...

Mtoto wa Ruge ni shidaa...

Afu nilikuwa nawaza ni mmbea gani atakaenipa taarifa za nandy?[emoji23]

Warumi, naskia huyo mtoto ndio sababu ya nandy. Kulia kwa uchungu kupitiliza kumkosa Ba mkwe

Je nandy ana umri gani asije mbemenda mtoto wa watu wakati wewe upo?[emoji16]
Kwani uyo jamaa ni mtoto sasa mbona njemba kubwa kabisa iyo si karibu 30 somethin??
 
Sure mwanaume unamcheka mwanaume mwenzio eti kibamia umejuaje? Au na weww unaona inapwaya kwa 0713

Siwaelewagi kabisa hawa watu



Official sasa wewe ni mwanaume mchele mchele

Siku-quote wewe ila naona imekuingia umeona ujibu
Jamaa mbona kama umepanic sana?? Relax....kama una bamia tumia dawa za masai si naskia zinawasaidiaga.?
 
Jujuman sio jina la kike

Sent using Jamii Forums mobile app
"JUJUH" sio jina la kike? Like seriously? Si kuna demu msanii tena wa mtoni japo sio kwa aziz ali anaitwa Jojo aliimba Too Little Too Late, ??

Sasa Jojo na Juju si yale yale tu? Kumbe saa nyingine wazazi ndo wanawajambiaga watoto wao na kuwapa gundu ....

Unamuita mtoto wa kiume JUJU afu utegemee awe na tabia za kiRijali?????

The Almighty God Must be Crazy to allow that!
 
"JUJUH" sio jina la kike? Like seriously? Si kuna deju msanii tena wa mtoni japo sio kwa aziz ali anaitwa Jojo aliimba Too Little Too Late, ??

Sasa Jojo na Juju si yale yale tu? Kumbe saa nyingine wazazi ndo wanawajambiaga watoto wao na kuwapa gundu ....

Unamuita mtoto wa kiume JUJU afu utegemee awe na tabia za kiRijali?????

The Almighty God Must be Crazy to allow that!
Juhjuh aka yao ya Junior mkuu mambo ya kuita watoto jinsi wanavyotamka kama Nasoro (Cholo) ,Mariam (Mamu) au Khalid (Tidi)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom